Biashara ya Toyo ikoje?

Biashara ya Toyo ikoje?

M45

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
1,461
Reaction score
2,320
Habari.

Nataka kufanya biashara ya toyo yaani niwaajiri vijana kwa ajili ya kubeba abiria na Mizigo.

Sasa bei ya toyo mpya zikoje?

Bei ya Guta la kubeba Mizigo Zikoje?

Kwa wastani inatakiwa nipokee shilingi ngapi kwa kijana wa toyo au Guta.?

Je matengenezo madogo madogo ni nani hutakiwa kufanya ?

Naombeni Ushirikiano wenu

Asante!
 
Subiri kwanza uchaguzi upite usome upepo kuna ahadi zinatolewa na hapa kazi tu!kwamba watagawa pikipiki unaweza kujikuta unakosa dereva.
 
Subiri kwanza uchaguzi upite usome upepo kuna ahadi zinatolewa na hapa kazi tu!kwamba watagawa pikipiki unaweza kujikuta unakosa dereva.

Serikali hata siku haitakaa imalize tatizo la ajira marekan yenyewe inalia itakua tz
 
toyo kwa maana ya pikipiki ya kubeba mizigo inauzwa kati ya 3.4 m na 3.7 inategemea wapi upo kwa mkoa wa dar hesabu kwa siku ni 15000 sina taarifa kwa mikoan. ila ukitaka kupata faida nunua pamoja na tank la maji la lita 1000 na pumpu moja ndogo ya laki moja na nusu kisha mkabidhi dereva likiwa na maji pamoja na mafuta full tank kisha deleva akuretee 25000 kwa siku pamoja pikipiki ikiwa fulltank na maji Lita 1000 kwa ajili ya siku inayofuata.

mchanganuo
COST

pikipiki 3500000 ( insurance inclusive)
tank 200000
pumpu ya mafuta 150000

mafuta 40000
maji Lita 1000@ 5000
emergency kwa matengenezo 100000
jumla 3995000

MAPATO

25000*6*4= 600000 kwa mwezi

kwa mwaka 7200000/= kisha unauza pikipiki kwa 2000000 jumla 9200000 ukitoa gharama za repair kwa pikipiki na pumpu 500000 kwa mwaka unabaki na 8700000 kisha unanua zingine mpya Mbili unabaki na faida laki saba hii unainvest sehemu nyingine ili kupunguza risk pale majanga yaliyo nje ya uwezo wako yakitokea baaada ya miaka mitatu unakuwa na pikipiki Nane mwisho wa mwaka wa tatu unakuwa na mtaji wa milioni 64 kisha unahama kutoka kutumia pikipiki unanua gari doza ya maji
 
toyo kwa maana ya pikipiki ya kubeba mizigo inauzwa kati ya 3.4 m na 3.7 inategemea wapi upo kwa mkoa wa dar hesabu kwa siku ni 15000 sina taarifa kwa mikoan. ila ukitaka kupata faida nunua pamoja na tank la maji la lita 1000 na pumpu moja ndogo ya laki moja na nusu kisha mkabidhi dereva likiwa na maji pamoja na mafuta full tank kisha deleva akuretee 25000 kwa siku pamoja pikipiki ikiwa fulltank na maji Lita 1000 kwa ajili ya siku inayofuata.

mchanganuo
COST

pikipiki 3500000 ( insurance inclusive)
tank 200000
pumpu ya mafuta 150000

mafuta 40000
maji Lita 1000@ 5000
emergency kwa matengenezo 100000
jumla 3995000

MAPATO

25000*6*4= 600000 kwa mwezi

kwa mwaka 7200000/= kisha unauza pikipiki kwa 2000000 jumla 9200000 ukitoa gharama za repair kwa pikipiki na pumpu 500000 kwa mwaka unapaki na 8700000 kisha unanua zingine mpya Mbili unabaki na faida laki saba hii unainvest sehemu nyingine ili kupunguza risk pale majanga yaliyo nje ya uwezo wako yakitokea baaada ya miaka mitatu unakuwa na pikipiki Nane mwisho wa mwaka wa tatu unakuwa na mtaji wa milioni 64 kisha unahama kutoka kutumia pikipiki unanua gari doza ya maji

vip mkuu kuhusu biashara ya bodaboda waweza nipa mchanganuo, kuanzia bei ya bodaboda mpya, kwa mtaji wa bodaboda 5 marejesho yake, na kuhusu matengenezo na malipo kwa ntakaemwajiri inakuwaje, na je vip kama unaingia nae mkataba wa miez 18 afu inakuwa yake? Naomba mchanganuo kama utakuwa na experience ya hizi mambo.
 
Mkuu kennychilala lile tank la guta linafika lita 1000 kweli??mbn km dogo sana
 
Last edited by a moderator:
toyo kwa maana ya pikipiki ya kubeba mizigo inauzwa kati ya 3.4 m na 3.7 inategemea wapi upo kwa mkoa wa dar hesabu kwa siku ni 15000 sina taarifa kwa mikoan. ila ukitaka kupata faida nunua pamoja na tank la maji la lita 1000 na pumpu moja ndogo ya laki moja na nusu kisha mkabidhi dereva likiwa na maji pamoja na mafuta full tank kisha deleva akuretee 25000 kwa siku pamoja pikipiki ikiwa fulltank na maji Lita 1000 kwa ajili ya siku inayofuata.

mchanganuo
COST

pikipiki 3500000 ( insurance inclusive)
tank 200000
pumpu ya mafuta 150000

mafuta 40000
maji Lita 1000@ 5000
emergency kwa matengenezo 100000
jumla 3995000

MAPATO

25000*6*4= 600000 kwa mwezi

kwa mwaka 7200000/= kisha unauza pikipiki kwa 2000000 jumla 9200000 ukitoa gharama za repair kwa pikipiki na pumpu 500000 kwa mwaka unabaki na 8700000 kisha unanua zingine mpya Mbili unabaki na faida laki saba hii unainvest sehemu nyingine ili kupunguza risk pale majanga yaliyo nje ya uwezo wako yakitokea baaada ya miaka mitatu unakuwa na pikipiki Nane mwisho wa mwaka wa tatu unakuwa na mtaji wa milioni 64 kisha unahama kutoka kutumia pikipiki unanua gari doza ya maji

I like this.

Japo si lazima iwe exactly kama ulivyodadavua lakini huu ni ushauri kuntu.
 
I like this.

Japo si lazima iwe exactly kama ulivyodadavua lakini huu ni ushauri kuntu.

ni kweli ndugu. hapo kuna assumptions zimetumika
kama shida ya maji eneo usika
pili muhusika hategemei hiyo toyo kuendesha maisha yake
tatu kama atauza ndoo kati ya mia nne na 500
 
toyo kwa maana ya pikipiki ya kubeba mizigo inauzwa kati ya 3.4 m na 3.7 inategemea wapi upo kwa mkoa wa dar hesabu kwa siku ni 15000 sina taarifa kwa mikoan. ila ukitaka kupata faida nunua pamoja na tank la maji la lita 1000 na pumpu moja ndogo ya laki moja na nusu kisha mkabidhi dereva likiwa na maji pamoja na mafuta full tank kisha deleva akuretee 25000 kwa siku pamoja pikipiki ikiwa fulltank na maji Lita 1000 kwa ajili ya siku inayofuata.

mchanganuo
COST

pikipiki 3500000 ( insurance inclusive)
tank 200000
pumpu ya mafuta 150000

mafuta 40000
maji Lita 1000@ 5000
emergency kwa matengenezo 100000
jumla 3995000

MAPATO

25000*6*4= 600000 kwa mwezi

kwa mwaka 7200000/= kisha unauza pikipiki kwa 2000000 jumla 9200000 ukitoa gharama za repair kwa pikipiki na pumpu 500000 kwa mwaka unabaki na 8700000 kisha unanua zingine mpya Mbili unabaki na faida laki saba hii unainvest sehemu nyingine ili kupunguza risk pale majanga yaliyo nje ya uwezo wako yakitokea baaada ya miaka mitatu unakuwa na pikipiki Nane mwisho wa mwaka wa tatu unakuwa na mtaji wa milioni 64 kisha unahama kutoka kutumia pikipiki unanua gari doza ya maji
i like this
 
toyo kwa maana ya pikipiki ya kubeba mizigo inauzwa kati ya 3.4 m na 3.7 inategemea wapi upo kwa mkoa wa dar hesabu kwa siku ni 15000 sina taarifa kwa mikoan. ila ukitaka kupata faida nunua pamoja na tank la maji la lita 1000 na pumpu moja ndogo ya laki moja na nusu kisha mkabidhi dereva likiwa na maji pamoja na mafuta full tank kisha deleva akuretee 25000 kwa siku pamoja pikipiki ikiwa fulltank na maji Lita 1000 kwa ajili ya siku inayofuata.

mchanganuo
COST

pikipiki 3500000 ( insurance inclusive)
tank 200000
pumpu ya mafuta 150000

mafuta 40000
maji Lita 1000@ 5000
emergency kwa matengenezo 100000
jumla 3995000

MAPATO

25000*6*4= 600000 kwa mwezi

kwa mwaka 7200000/= kisha unauza pikipiki kwa 2000000 jumla 9200000 ukitoa gharama za repair kwa pikipiki na pumpu 500000 kwa mwaka unabaki na 8700000 kisha unanua zingine mpya Mbili unabaki na faida laki saba hii unainvest sehemu nyingine ili kupunguza risk pale majanga yaliyo nje ya uwezo wako yakitokea baaada ya miaka mitatu unakuwa na pikipiki Nane mwisho wa mwaka wa tatu unakuwa na mtaji wa milioni 64 kisha unahama kutoka kutumia pikipiki unanua gari doza ya maji

toyo kwa maana ya pikipiki ya kubeba mizigo inauzwa kati ya 3.4 m na 3.7 inategemea wapi upo kwa mkoa wa dar hesabu kwa siku ni 15000 sina taarifa kwa mikoan. ila ukitaka kupata faida nunua pamoja na tank la maji la lita 1000 na pumpu moja ndogo ya laki moja na nusu kisha mkabidhi dereva likiwa na maji pamoja na mafuta full tank kisha deleva akuretee 25000 kwa siku pamoja pikipiki ikiwa fulltank na maji Lita 1000 kwa ajili ya siku inayofuata.

mchanganuo
COST

pikipiki 3500000 ( insurance inclusive)
tank 200000
pumpu ya mafuta 150000

mafuta 40000
maji Lita 1000@ 5000
emergency kwa matengenezo 100000
jumla 3995000

MAPATO

25000*6*4= 600000 kwa mwezi

kwa mwaka 7200000/= kisha unauza pikipiki kwa 2000000 jumla 9200000 ukitoa gharama za repair kwa pikipiki na pumpu 500000 kwa mwaka unabaki na 8700000 kisha unanua zingine mpya Mbili unabaki na faida laki saba hii unainvest sehemu nyingine ili kupunguza risk pale majanga yaliyo nje ya uwezo wako yakitokea baaada ya miaka mitatu unakuwa na pikipiki Nane mwisho wa mwaka wa tatu unakuwa na mtaji wa milioni 64 kisha unahama kutoka kutumia pikipiki unanua gari doza ya maji

HAPO KWENYE NYEKUNDU SIJAPAELEWA
 
toyo kwa maana ya pikipiki ya kubeba mizigo inauzwa kati ya 3.4 m na 3.7 inategemea wapi upo kwa mkoa wa dar hesabu kwa siku ni 15000 sina taarifa kwa mikoan. ila ukitaka kupata faida nunua pamoja na tank la maji la lita 1000 na pumpu moja ndogo ya laki moja na nusu kisha mkabidhi dereva likiwa na maji pamoja na mafuta full tank kisha deleva akuretee 25000 kwa siku pamoja pikipiki ikiwa fulltank na maji Lita 1000 kwa ajili ya siku inayofuata.

mchanganuo
COST

pikipiki 3500000 ( insurance inclusive)
tank 200000
pumpu ya mafuta 150000

mafuta 40000
maji Lita 1000@ 5000
emergency kwa matengenezo 100000
jumla 3995000

MAPATO

25000*6*4= 600000 kwa mwezi

kwa mwaka 7200000/= kisha unauza pikipiki kwa 2000000 jumla 9200000 ukitoa gharama za repair kwa pikipiki na pumpu 500000 kwa mwaka unabaki na 8700000 kisha unanua zingine mpya Mbili unabaki na faida laki saba hii unainvest sehemu nyingine ili kupunguza risk pale majanga yaliyo nje ya uwezo wako yakitokea baaada ya miaka mitatu unakuwa na pikipiki Nane mwisho wa mwaka wa tatu unakuwa na mtaji wa milioni 64 kisha unahama kutoka kutumia pikipiki unanua gari doza ya maji

mchanganuo Mzuri sana..Napenda sana nikiuliza kitu mtu anijibu Ki staili HI..muuliza swali nadhani Maswali atakua nayo machache tu sasa hivi baada ya kusoma hiii.
 
toyo kwa maana ya pikipiki ya kubeba mizigo inauzwa kati ya 3.4 m na 3.7 inategemea wapi upo kwa mkoa wa dar hesabu kwa siku ni 15000 sina taarifa kwa mikoan. ila ukitaka kupata faida nunua pamoja na tank la maji la lita 1000 na pumpu moja ndogo ya laki moja na nusu kisha mkabidhi dereva likiwa na maji pamoja na mafuta full tank kisha deleva akuretee 25000 kwa siku pamoja pikipiki ikiwa fulltank na maji Lita 1000 kwa ajili ya siku inayofuata.

mchanganuo
COST

pikipiki 3500000 ( insurance inclusive)
tank 200000
pumpu ya mafuta 150000

mafuta 40000
maji Lita 1000@ 5000
emergency kwa matengenezo 100000
jumla 3995000

MAPATO

25000*6*4= 600000 kwa mwezi

kwa mwaka 7200000/= kisha unauza pikipiki kwa 2000000 jumla 9200000 ukitoa gharama za repair kwa pikipiki na pumpu 500000 kwa mwaka unabaki na 8700000 kisha unanua zingine mpya Mbili unabaki na faida laki saba hii unainvest sehemu nyingine ili kupunguza risk pale majanga yaliyo nje ya uwezo wako yakitokea baaada ya miaka mitatu unakuwa na pikipiki Nane mwisho wa mwaka wa tatu unakuwa na mtaji wa milioni 64 kisha unahama kutoka kutumia pikipiki unanua gari doza ya maji
Mhh rahisi kuongea
 
Back
Top Bottom