Biashara ya Senene

Red pen

Member
Joined
Mar 4, 2019
Posts
51
Reaction score
37
Hello ndugu, nawatafuta wafanyabiashara kutoka mikoa mbalimbali hapa Tanzania wanaonunua Senene kwa ajili ya biashara kutoka Bukoba, Kagera wanaolangua.

Tafadhali tuwasiliane, tukutane uchukue Senene wazuri pure wa sasa hivi,napatikana Kagera.

Karibu sana.
 
Lita 10 shilingi ngapi?
 
Kwahiyo wewe hauna vipimo maalumu na bei zake , si waweza sema labda nusu kilo ni 3000, kilo 5000/= hiyo kutegemea ndyo ninii
,nahitaji robo kilo sh ngapii?
Ninauza kwa jumla, mm ninakamata hao senene. Kwaiyo, nauza kwa ndoo ndogo/kubwa, diaba moja na kuendelea. Pole kwa kutokuliweka wazi mkuu. Karibu Sana.
 
Ok, sasa hiyo ndoo ya lita 10 ya senene unauza shilingi ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…