dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,403
- 19,424
Aisee! Hii imekaaje yaani wewe wakala unapata hadi meseji ya muamala kutoka auKwa mtaji alionao kama akipata sehemu iliyochangamka inapendeza zaida maana atabak kama na mtaj wa 1.3hiyo saba itaisha kweny kupata lain na kukod fremu angalizo la kwanza akipigiwa simu na watu wanaojitambulisha wamekosea pesa akawasikiliza ujue amepigwa nakumbuka mm nilikua kama Nina wiki hivi wakanipigia kwel walifanikiwa kunipiga kama lak tatu chap chap nilitaka kukata tamaa
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app