FIDIVIN
Senior Member
- Aug 4, 2010
- 187
- 41
Nataka kufungua pharmacy, namwitaji Pharmacist aliyesajiriwa na anayeelewa utaratibu wa kuanzisha pharmacy ili anisaidie kuanzisha biashara hii mtaani kwetu hapa Dar,
Mtaji wangu ni mdogo so natafuta yule ambaye hatanitoza pesa kubwa. Kikubwa awe mwaminifu na siko tayari kutoa rushwa huko serikalini ila nataka kufuata taratibu zote.
Kama uko tayari ni PM au nipigie 0712729015
Asanteni
Mtaji wangu ni mdogo so natafuta yule ambaye hatanitoza pesa kubwa. Kikubwa awe mwaminifu na siko tayari kutoa rushwa huko serikalini ila nataka kufuata taratibu zote.
Kama uko tayari ni PM au nipigie 0712729015
Asanteni