Mkuu biashara ya kununua mpunga na kuukoboa ni biashara inayohitaji uzoefu sana.lazma ujue upate mtu anaejua mpunga wa kutoa mchele mzuri maana unaweza ukanunua mpunga kwa bei kubwa halafu ukatoa chenga za vitumbua ..Nkushauri kama hauna uzoefu wa hilo zao bas mtafute mtu awe anakunnulia kwa ...Bahi na morogoro ni kalibu