dicloppa
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 278
- 400
Kuna hii biashara ya maziwa hasa mtindi huwa inafayika pale Ubungo kuanzia alfajiri, hitaji langu ni kutaka kujua wale wafanyabiashara mzigo wa yale maziwa mtindi wanachukua wapi na kwa gharama ipi?
Mwenye kuijua hii biashara naomba uniambie ABC za hii biashara.
Mwenye kuijua hii biashara naomba uniambie ABC za hii biashara.