Biashara ya mahindi

Biashara ya mahindi

dorcas_eliud

Member
Joined
Sep 25, 2018
Posts
23
Reaction score
13
Habari wana jf
Nimelima mahindi heka 2 bagamoyo uelekeo wa mlandizi sehemu inaitwa cha simba...
Kama unahitaji basi tuwasiliane 0692942719 ili tuweze kuongea biashara
20190725_114639.jpeg
 
Duh! Mbona Unauza Bei Mbaya Sana?.
 
Ni jinsi mteja atakavyotaka iwe shamba nzima au kwa heka au nusu ndipo tutakapoongea bei iliyopo sokoni
 
Back
Top Bottom