malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,719
- 4,305
Habar wakuu Nina idea yakufanya biashara ya kulenga magari .yaan nanunua gari za Bei ndogo 4m,3.5m,5m Kisha kuziuza kuzitafutia wateja kwa faida ya pesa kidgo kuanzia 500000..wajuzi wamambo nipeni naujanja Sina uzoefu wowote wa magari
