Biashara ya kukopesha huku ukibaki na dhamana

Biashara ya kukopesha huku ukibaki na dhamana

Developer

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
564
Reaction score
928
Habari wakuu,

Nafikiria kuanzisha biashara ya kukopesha kama ka microfinance kadogo lakini nibaki na dhamana.

Kwa mfano una simu au laptop unakuja unaicha ofisini (baada ya kujaza form ya mkataba na kuacha kopi ya ID) then unachukua mkopo unafanya yako within siku thelathini unakuja na pesa jumlisha riba tunakupa simu au laptop yako.

Basically hatuchaji riba but gharama ya kutunza property yako kwa muda unaokaa na pesa zetu, ambayo ni almost 30% ya mzigo uliochukua.

Money is a scarce resource I know this will be a business, I just want to know about its legality. Is this mode of business legal?

Yaani kisheria unaruhusiwa kumkopesha MTU na ukabaki na kitu chake kama dhamana?

Thanks.
 
Wazo zuri,
Nafikir maadamu umeisajili haina tatizo, bila kusajil utafilisika mapema sana.
 
Una mpango wa kunua vitu vya watu bila kupenda
Hapo kwenye kununua kwa mfano MTU kaja na laptop used dukani inauzwa laki tatu, wewe unampa laki pamoja na riba kwa hiyo cash utampa kama sabini pamoja na riba inakuwa 91000 hii hata akikimbia unauza fasta tu.
 
Hapo kwenye kununua kwa mfano MTU kaja na laptop used dukani inauzwa laki tatu, wewe unampa laki pamoja na riba kwa hiyo cash utampa kama sabini pamoja na riba inakuwa 91000 hii hata akikimbia unauza fasta tu.

Achana na io biashara, utapata kesi kabla ya faida
 
achana na io biashara, utapata kesi kabla ya faida
Mbona watu mnapenda kukatisha tamaa watu wengine? Ni hivi mleta Uzi go on mkuu na wazo lako. Hapa jukwaani utapewa more negativity kuliko positivity. Eitha wao wenyewe walishindwa au waliona watu walishindwa ni wao siyo wewe. Kama uko serious do it please utakuja kunishukuru.

Ni wazo zuri la bishara, unajipanga kuhudumia jamii na wenye uhitaji ni wengi, unakuta MTU ameuguliwa anahitaji pesa ya chap lazima ataweka dhamana ataenda kujisaidia baadae atarejesha ndani ya muda husika. Mimi nimefanya biashara ya kukopesha kipindi nikiwa chuo mwaka wa pili na wa tatu.

It gave me heavy feedback, though kuna changamoto zake lakini return ni kubwa kuliko loss. Cha msingi biashara yako isajili uwe na leseni na ulipie ushuru tra indeed you're going to be millionaire. "Let Meet at the high chairs "
 
Back
Top Bottom