Biashara ya kufanya kutoka Malaysia

Biashara ya kufanya kutoka Malaysia

muneera75

Senior Member
Joined
Oct 12, 2019
Posts
190
Reaction score
318
Habari.

Jamani nina rafiki yangu kapata bahati ya kwenda nchini malaysia anaomba ushauri aje kufanya biashara gani akirudi bongo hivi karibuni?

Mwenye idea ya biashara yoyote inayolipa atuambie na pia mtaji inabidi iwe shilingingapi?
 
Kila inayoitwa biashara na kuna watu wanfanya, basi kuna inaowalipa na wanaopata hasara.
Suala ni anataka kufanya nini ambacho atakuwa na moyo nacho, maarifa na uwezo wa kukianzisha na kuendeleza.
Mfano humu tukimshauri afungue kiwanda cha ku pack na ku label pombe kali, unaweza kuta ni strict Muslim au Christian.
Tukimwambia atafute potential areas in town, afungue bucha awe anachukua nyama machinjioni, anaweza ona anachelewa, labda ana mamia ya mamilioni n.k
Napendekeza apitie uzi humu unabkey words "njia bora ya kupata mawazo ya biashara".
Lolote atakaloanza afanye utafiti na aanze kidogo kidogo.
 
Back
Top Bottom