Biashara ya ku-deliver bidhaa Kibaha

lusajo1990

Member
Sep 28, 2014
11
9
Nafikiria kuanzisha local delivery company ya bidhaa za nyumbani, kwa kutumia baiskel za umeme especially eneo la Kibaha. Nakaribisha mwenye mawazo kama haya awekeze knowledge na muda namna gani inaweza kufanyika kwa ufanisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…