Speculator
Member
- Mar 30, 2012
- 56
- 4
Duka/Frame au Biashara inayoendelea iko mtaa wa biashara na wateja wa kutosha pia inavutia sana,,,,na ina kila kitu kisheria inauzwa na mwenyewe, mnunuzi analipa tu na kuanza kuuza saa hiyo hiyo baada ya makabidhiano ya kisheria, kwa maana kodi zote zimelipwa na biashara ina stock ya kuvutia sana wateja na kutosheleeza, waweza kulipa mara moja na kuachana au kulipa kwa mkataba maalumu ya lnstalments tegemea na dhamana ya mteja, pia tunaweza kufunga mkataba wa FRANCHISE(unalipia mfumo,goodwill,mrahaba,jinala biashara yetu kwa mwaka) Vyote vinawezekana, bei inategemea ni kipi unataka,,, karibuni sana,,
Kwa wale wapendao wani PM au email: jifunze.learn@gmail.com
Kwa wale wapendao wani PM au email: jifunze.learn@gmail.com