Biashara ya duka na matatizo ya akili au kisaikolojia..!

Aigoo

JF-Expert Member
Feb 27, 2015
3,124
2,814
Habari za mda huu wakuu.

Kama kichwa cha habari kinavyosema je kuna uhusiano gani wa biashara ya duka na matatizo ya akili au kisaikolojia..?

Katika harakati za uchunguzi wangu nimegundua kuwa asilimia fulani ya wanaouza maduka either ni mmiliki au muuzaji huwa na matatizo ya akili au kisaikolojia yaani wanakuwa hawapo sawa ( baadhi lakini) kama mazoba hivi, wapo wapo tu.

Je ni sababu gani inasababisha wanakuwa hivi maana kuna wakati natamni niwe na kibanda changu nikifikilia hivi na give up.
 
Utafiti wako uliufanya kwa sample size gani? Methodology uliyotumia na % ya watu wenye matatizo ya akili ni ngapi?
Mfano nilipokuwa home kuna Mzee mzee 1 hivi dishi lake lilikuwa kama limeyumba hivi na mzee kijana mwingine alikuwa na duka kubwa la jumla na rejareja daah alikuwa anatembelea baiskel iliyochoka Sana afu muonekano zero, mwingine kijana tu ndo mmiliki yupo yupo tu mzembe,hayuko smart anavaa mavazi mpaka tunamshangaa..
 
Habari za mda huu wakuu.
Kama kichwa cha habari kinavyosema je kuna uhusiano gani wa biashara ya duka na matatizo ya akili au kisaikolojia..?
Katika harakati za uchunguzi wangu nimegundua kuwa asilimia fulani ya wanaouza maduka either ni mmiliki au muuzaji huwa na matatizo ya akili au kisaikolojia yani wanakuwa hawapo sawa ( baadhi lakini) kama mazoba hivi, wapo wapo tu. Je ni sababu gani inasababisha wanakuwa hivi mana kuna wakati natamni niwe na kibanda changu nikifikilia hivi na give up.

Una matani na wachagga wewe
 
Mfano nilipokuwa home kuna Mzee mzee 1 hivi dishi lake lilikuwa kama limeyumba hivi na mzee kijana mwingine alikuwa na duka kubwa la jumla na rejareja daah alikuwa anatembelea baiskel iliyochoka Sana afu muonekano zero, mwingine kijana tu ndo mmiliki yupo yupo tu mzembe,hayuko smart anavaa mavazi mpaka tunamshangaa..
Magonjwa ya akili huwa yapo tu hilo silipingi
Mtu yeyote bila kujali shughuli zake anazofanya anaweza kupata mental problem

Mf kuna daktar mmoja muhimbili pale alikuwa ana matatizo ya akili lakin alikuwa akikaa sawa anafanya kaz zake fresh tu, vikitibuka anafungwa anapelekwa kitengo wanampa dawa

Kwhyo kwa watu hao wawili ulio waona tu sidhan kama sample yako inatosha kutoa hitimisho kama ilo

Kwa kuwa siamin uchawi unaweza ukahusisha na maswala ya kishirikina na uendeshaji wa biashara zao
 
sample mbili tuu ndio umetoa conclusion,, endelea na research yko then utuletee majibu humu kwa mikoa kama mitatu
 
Back
Top Bottom