Lelon Mush
Member
- Sep 16, 2019
- 64
- 15
Habari wakuu naomba mnijuze faida na changamoto za biashara ya kuuza chakula cha kuku.
Kama wakalaKuuza chakula cha kuku kama wakala au mtengenezaji?
Ukitengeza mwenyewe ndo itakulipa,, uwe na brand yako mwenyewe,,ina faida sana tu...Kama wakala
Kama wakala
DarUko wapi mkuu nkupe dondoo za hiyo kitu. Na ulitaka kuanza na mtaji kiasi gani??
Kaka vipi na mimi nataka unipe dondoo za biashara ya kukuNjoo PM
Sema hapa hapa wote tupate ujuzi mkuuNjoo PM
Majibu yetu hua yanachosha sana aisee.