mr man city
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 467
- 320
Kwema wakuu, tupeane mwongozo kwenye hii biashara ya nyama ya ng'ombe, bei ya nyama, vifaa vya ndani ya bucha, mizani ya kisasa,Cetc.
Location ni Mwanza, maeneo ya chuo cha Saut huku.
Nimeona fursa kutokana na uhaba wa mabucha.
Location ni Mwanza, maeneo ya chuo cha Saut huku.
Nimeona fursa kutokana na uhaba wa mabucha.



