Biashara ya barafu

Watu wanahisi unazungumzia barafu za 100.

Pale Makumbusho kwa Mama Zakaria kuna kiwanda cha mabarafu. Naona yapo hadi ya kilo 50, sina uhakika kama bado kinaishi coz last time jamaa mmoja akasema boss wa pale kama anataka kufunga.

Apangilie tu logistics na kupata sehemu za kupeleka atapiga hela no question.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…