Kuwa na Bidhaa au Huduma nzuri sana
Bila kuitangaza
Au kuweka bajeti kwaajili ya kuitangaza
Ni sawa na kuwa na gari nzuri sana
Pengine BMW, PRADO au Benz
Isiyo na mafuta
...Hakuna atakayeiona
Wala kuona uzuri wa gari lako
Hakuna atakaye kuona WEWE mwenye hiyo gari nzuri
Najua unafahamu msemo unaosema
Biashara Ni Matangazo
Hivyo unaweza kuwa na Bidhaa au Huduma nzuri sana...lakini kama huitangazi
Utajikuta mshindani wako ambaye pengine bidhaa au Huduma yake ni ya kawaida kuliko Yako
Ana Tengeneza mauzo na faida kubwa sana kuliko WEWE mwenye hiyo Bidhaa au Huduma Kali Sana
Katika biashara au kampuni Yako
Sehemu muhimu sana
Ambayo Ni injini na uhai wa biashara Yako au hiyo kampuni Yako Ni MASOKO... MARKETING
Unatakiwa kutangaza Biashara Yako Muda wote
Ili ijulikane zaidi, ipendwe na inunulike zaidi
Na WEWE kama Mjasiliamali au mfanyabiashara
Uweze kuhudumia wafanya Kazi , kulipia Kodi mbalimbali na Kukuza Biashara Yako..
Ona..
Unajua Ni Kwa Nini Coca-Cola, Pepsi, Mo, Azam na makampuni ya Simu yanafahamika sana?
Bidhaa na Huduma zao zinafahamika sana?
Na wanatengeneza mauzo na faida za kufa mtu Kila siku?
My friend Ni kwa Sababu wamewekeza vyakutosha kwenye Matangazo..
Business is a game of number
The more people see your product..the high chance they will buy..
Yaani Biashara Ni mchezo wa namba
Kadiri meseji za bidhaa au Huduma Yako zinavyozidi kuonwa na kuwafikia watu wengi ndivyo
Unavyoongeza nafasi ya wao kutamani kuinunua na kuitumia..
Bahati nzuri kwa sasa hata kama WEWE Ni Mjasiliamali mdogo ambaye huwezi kumudu gharama za Matangazo kwenye TV au Radio..
Unaweza kutangaza Biashara Yako Kwenye Mtandao wa Internet
Kama vile Facebook na Instagram
Na unaweza kunasa wateja wengi...vile vile bidhaa au Huduma yako ikawafikia wengi na kujulikana zaidi
Gharama za Matangazo kwenye Mtandao wa Internet Ni rahisi Sana..
Yaani Ni kuanzia dollar moja Tu kwa siku ambayo Ni sawa na Tsh. 2315 za kitanzania
Kama huwezi Kufanya hivyo unaweza kujifunza au kutafuta watalaam internet Marketing
Wakakusaidia..
Naimani post hii itakusaidia
Kama kweli WEWE Ni Mjasiliamali unayependa Kupata wateja wengi na Kukuza Biashara Yako
Best
Bila kuitangaza
Au kuweka bajeti kwaajili ya kuitangaza
Ni sawa na kuwa na gari nzuri sana
Pengine BMW, PRADO au Benz
Isiyo na mafuta
...Hakuna atakayeiona
Wala kuona uzuri wa gari lako
Hakuna atakaye kuona WEWE mwenye hiyo gari nzuri
Najua unafahamu msemo unaosema
Biashara Ni Matangazo
Hivyo unaweza kuwa na Bidhaa au Huduma nzuri sana...lakini kama huitangazi
Utajikuta mshindani wako ambaye pengine bidhaa au Huduma yake ni ya kawaida kuliko Yako
Ana Tengeneza mauzo na faida kubwa sana kuliko WEWE mwenye hiyo Bidhaa au Huduma Kali Sana
Katika biashara au kampuni Yako
Sehemu muhimu sana
Ambayo Ni injini na uhai wa biashara Yako au hiyo kampuni Yako Ni MASOKO... MARKETING
Unatakiwa kutangaza Biashara Yako Muda wote
Ili ijulikane zaidi, ipendwe na inunulike zaidi
Na WEWE kama Mjasiliamali au mfanyabiashara
Uweze kuhudumia wafanya Kazi , kulipia Kodi mbalimbali na Kukuza Biashara Yako..
Ona..
Unajua Ni Kwa Nini Coca-Cola, Pepsi, Mo, Azam na makampuni ya Simu yanafahamika sana?
Bidhaa na Huduma zao zinafahamika sana?
Na wanatengeneza mauzo na faida za kufa mtu Kila siku?
My friend Ni kwa Sababu wamewekeza vyakutosha kwenye Matangazo..
Business is a game of number
The more people see your product..the high chance they will buy..
Yaani Biashara Ni mchezo wa namba
Kadiri meseji za bidhaa au Huduma Yako zinavyozidi kuonwa na kuwafikia watu wengi ndivyo
Unavyoongeza nafasi ya wao kutamani kuinunua na kuitumia..
Bahati nzuri kwa sasa hata kama WEWE Ni Mjasiliamali mdogo ambaye huwezi kumudu gharama za Matangazo kwenye TV au Radio..
Unaweza kutangaza Biashara Yako Kwenye Mtandao wa Internet
Kama vile Facebook na Instagram
Na unaweza kunasa wateja wengi...vile vile bidhaa au Huduma yako ikawafikia wengi na kujulikana zaidi
Gharama za Matangazo kwenye Mtandao wa Internet Ni rahisi Sana..
Yaani Ni kuanzia dollar moja Tu kwa siku ambayo Ni sawa na Tsh. 2315 za kitanzania
Kama huwezi Kufanya hivyo unaweza kujifunza au kutafuta watalaam internet Marketing
Wakakusaidia..
Naimani post hii itakusaidia
Kama kweli WEWE Ni Mjasiliamali unayependa Kupata wateja wengi na Kukuza Biashara Yako
Best