Biashara: Kuchimba & kujengea makaburi Dar

Biashara: Kuchimba & kujengea makaburi Dar

Andrew123

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
8,405
Reaction score
11,196
Wadau nimenunua Shamba maeneo ya KIROMO Bagamoyo nataka kufanya sehemu ya kuzikia (makaburi) kwa dini zote. Pia tunatoa huduma ya kuchimba na kujengea Makaburi. Maana naona makaburi ya DAR (kinondoni, buguruni etc.) yamejaa. Karibuni sana.
 
unajenga kama yale ya uzunguni? Au ndo ovyo ovyo kama vibanda?
 
Ama kweli.....Ukifa wewe je nani ataendesha hiyo biashara?Nani atakujengea pia?
 
Hivi unaruhusiwa kufungua sehemu ya makaburi bila kibali? Nahisi kama eneo la makaburi lina hati miliki ya serikali na heshima Fulani hivi...! sasa inapokuwa ni sehemu ya uwekezaji inanipa shida kidogo....., vipi mwekezaji akiamua kubadili matumizi ya ardhi yake? au kuna mkataba kwa kila kaburi?
 
Back
Top Bottom