Biashara gani yenye kuingiza faida ya milioni 100 mpaka 500/mwezi/wiki/siku?

Status
Not open for further replies.
Fanya biashara kwenye bahari huku kuna pesa na wawekezaji wachache sana.

1.Unaweza ukawa unakodi meli nzima( Time Charter) wewe unatafuta connection ya waagiza mizigo kutoka China na agent wa mizigo ya kuja Africa mashariki watumie meli uliyokodi. Kwa trip moja bei ya kulipia makontena na mizigo yote lazima upate faida zaidi ya 500million.

2. Unaweza ukaanzisha biashara ya kuuza engine za boti ndogo na spare zake na wewe uwe muagizaji mkuu.
Watu wote wa kununua rejareja wawe wanakuja kuchukua mzigo kwako.
 
Kuuza bangi mkuu.

Utaamua kulima mwenyewe au kununua kwa mkulima au dalali ni wewe tu.

Ukilima mwenywe wewe gharama ni kulipa vijana wakuishughulikia shambani, haiitaji dawa yoyote, na inamea vizuri tu.

Ukiamua kununua kwa mkulima utapata sado kwa elfu 30-35 jike ila dume inakwenda hadi 50 elfu ni wewe tu chaguo lako.

Ukiona sado haikufai unaweza nunua gunia ni milioni 4 tu.

Kuhusu usafirishaji ni uwezo wako wa kutabiri muelekeo wa vyombo vya dola, ila barabara zinapitika kirahisi tu.
Ukivusha hapo boda ya Zambia gunia milioni 34 hapo kata vikwazo vyoote unabaki na faida ya kama milioni 28 hivi.

Mengine sijui ila ni wewe tu uwezo wako, ukidakwa shauri yako na kumbuka unaweza usirudi uraiani leo wala kesho mkuu ila ukiwa na gunia 10 ukapeleka hapo Zambia unarudi na milioni karibu 280.
 
Wanaokupa ushauri hawana hata biashara ya mtaji wa laki 5 nawengine hawanakazi wanashinda vijiweni ndomaana wanapata mda wakuingia jF kusom thread za watu
This is stupidity tena grade 1 mkuu....Mo kila siku lazima a tweet huko twitter but it doesnt mean hana mambo ya kufanya. Ni watu wapumbavu tu ndo huwa wanadhan kutumia mitandao ya kijamii ni wastage of time.

PS : Sharing is caring
 
Fanya biashara kwenye bahari huku kuna pesa na wawekezaji wachache sana.

1.Unaweza ukawa unakodi meli nzima( Time Charter) wewe unatafuta connection ya waagiza mizigo kutoka China na agent wa mizigo ya kuja Africa mashariki watumie meli uliyokodi. Kwa trip moja bei ya kulipia makontena na mizigo yote lazima upate faida zaidi ya 500million.

2. Unaweza ukaanzisha biashara ya kuuza engine za boti ndogo na spare zake na wewe uwe muagizaji mkuu.
Watu wote wa kununua rejareja wawe wanakuja kuchukua mzigo kwako.
Asante ndugu yangu, this is what am talking about, powerful profit,
Capital inaweza kucheza kwenye ngapi
 
This is stupidity tena grade 1 mkuu....Mo kila siku lazima a tweet huko twitter but it doesnt mean hana mambo ya kufanya. Ni watu wapumbavu tu ndo huwa wanadhan kutumia mitandao ya kijamii ni wastage of time.

PS : Sharing is caring
Kiongozi, ushauri wako au wa wengine jua tu zinakua very appreciated na Mimi kwa kiwango kikubwa, haswa ushauri unaojenga na makini, na hapa hapa naweza pata team yangu..nafatilia kwa makini comments zenu...
 
Kama unaweza uende China ufanye makubaliano wakutengenezee injini za boti na uzipe jina lako kama ilivyo kwenye pikipiki.

Wewe ukileta huku utakuwa ndio muagizaji mkubwa na utakuwa ukileta hizo spea za boti ndogo.

Kama ukilenga kwa wavuvi uko kuna msamaha wa kodi kwa zana za uvuvi na hiyo injini inaingia katika zana za uvuvi.

Engine nyingi ni bei ghali sana na wazalishaji ni kama Yamaha,Suzuki,Honda,Mercury,Tohatsu na Envirude.

Wewe ukileta zako utasambaza East and Central Africa na mazingira yetu ya bongo engine ikiwa na nguvu kawaida (HP) inafanya vizuri na hakuna baridi wala joto kali.
 
Kama unaweza uende China ufanye makubaliano wakutengenezee injini za boti na uzipe jina lako kama ilivyo kwenye pikipiki.

Wewe ukileta huku utakuwa ndio muagizaji mkubwa na utakuwa ukileta hizo spea za boti ndogo.

Kama ukilenga kwa wavuvi uko kuna msamaha wa kodi kwa zana za uvuvi na hiyo injini inaingia katika zana za uvuvi.

Engine nyingi ni bei ghali sana na wazalishaji ni kama Yamaha,Suzuki,Honda,Mercury,Tohatsu na Envirude.

Wewe ukileta zako utasambaza East and Central Africa na mazingira yetu ya bongo engine ikiwa na nguvu kawaida (HP) inafanya vizuri na hakuna baridi wala joto kali.
Thank you Offshore Seamen
 
Wazo lingine la pesa ndefu na ya uhakika.
Kama una mtaji kakodi meli za uvuvi kubwa zilizosajiliwa na nchi kama Panama,Liberia au Hong Kong.

Kisha njoo uombe kibali cha kuvua samaki hapa Tanzania, maana uvuvi wa bahari kuu hapa nchini haufanyiki sana na hata vyombo vilivyopo ni vizee na teknolojia ya zamani.

Ukivua samaki soko la ndani na nje ni kubwa sana. Mfano ukiwa na meli kubwa ya uvuvi ukivua samaki wale wakubwa ela unayopata kubwa sana.

Kama wizarani wakikubania kibali na wewe mzawa unataka uwekeze nadhani hata Raisi akisikia atakuwa upande wako kukutetea.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom