Yoyote ile ata ya pipi ambayo utapata kila pipi faida ya sh. 10 kama utauza pipi elfu 10 za sh 50 kila siku bas utalala na laki sawa mkuuSalute Wakuu
Naomba ushauri kuhusu Biashara gani ambayo naweza kufanya kwa Siku nikalaza atleast Laki 1 kama faida, regardless mtaji kiasi gani.
Natangulixa Shukurani 🙏🙏
Mkuu hii mie nafanya, lakini changamoto kupata hiyo fursa ya kusupply. Kama una connection na kwenye miradi mikubwa naomba connection mkuu.Fanya biashara ya kusupply raw material kwenye viwanda,au kusupply building materials kwenye miradi mbali mbali...
Hakika hyo laki unaipata na zaidi
Regardless mtaji ndio nini?Salute Wakuu
Naomba ushauri kuhusu Biashara gani ambayo naweza kufanya kwa Siku nikalaza atleast Laki 1 kama faida, regardless mtaji kiasi gani.
Natangulixa Shukurani 🙏🙏
mkuu naona umeamua kukomoa.Ulipoandika regardless mtaji kihasi gani ndipo ulipoharibu maana hata chizi wa mirembe anaweza kukutajia hiyo biashara na kweli ikaingiza 100,000+ kwasiku, tuanze
1)Jenga kiwanda cha maji
2)Nunua boti 10 zifanye root Zanz-Dar
3)Nunua Costa 10 zipige ruti
4)Nunua Semi 30 ukodishe
5)Fungua maduka 10 kariakoo
6)Nunua Bombardier 10
7)Nunua meli 20 zibebe mizigo
Nipo sahihi mkuu ikiwezekanamkuu naona umeamua kukomoa.
BettingSalute Wakuu
Naomba ushauri kuhusu Biashara gani ambayo naweza kufanya kwa Siku nikalaza atleast Laki 1 kama faida, regardless mtaji kiasi gani.
Natangulixa Shukurani 🙏🙏
Anzisha mtandao wa simu.Salute Wakuu
Naomba ushauri kuhusu Biashara gani ambayo naweza kufanya kwa Siku nikalaza atleast Laki 1 kama faida, regardless mtaji kiasi gani.
Natangulixa Shukurani 🙏🙏
Utuambie kwanza una shilingi ngapi mfukoni kama mtaji? Kulaza faida ya laki 1 kwa siku usawa huu wa magu, siyo jambo jepesi kama unavyo fikiri.Salute Wakuu
Naomba ushauri kuhusu Biashara gani ambayo naweza kufanya kwa Siku nikalaza atleast Laki 1 kama faida, regardless mtaji kiasi gani.
Natangulixa Shukurani 🙏🙏