Ukiona hivyo, badilisha kinywaji, anza kunywa maziwa, ni kinywaji kizuri sana kwa afya yako, ukilinginisha na hicho kileo chako ambacho kina athari kubwa kwa afya yako.
Inategemea. Inawezekana ilifunguliwa vibaya(nzima)au mbovu.
Kuhakikisha ipige pige kidogo kwenye kitako cha chupa kama itaendelea kufoka na kumwagika basi ni mbovu. Kama haitafoka basi nzima.
Au mwaga kidogo chini kwenye sakafu endapo itatoa povu basi nzima isipotoa povu mbovu. Isinywe utaharisha mpaka ukome
Inategemea. Inawezekana ilifunguliwa vibaya(nzima)au mbovu.
Kuhakikisha ipige pige kidogo kwenye kitako cha chupa kama itaendelea kufoka na kumwagika basi ni mbovu. Kama haitafoka basi nzima.
Au mwaga kidogo chini kwenye sakafu endapo itatoa povu basi nzima isipotoa povu mbovu. Isinywe utaharisha mpaka ukome