Better being Single-Ndoa majanga tu


hahahahah Really!
 
Reactions: amu

Ukitaka kujua utamu wa ngoma ingia ucheze.. Jibu la mtihani.. "Formula ya ndoa unapanga wewe".
 
Reactions: amu
Tatizo unajifanya kwamba unajua kukea sana. Sikiliza, kuoa au kuwa na mchumba sio sababu ya kuacha kuishi maisha yako na kuishi ya mwenzio. Interaction kati yenu inatakiwa iwe 25%pekee na 75% unatakiwa uwe independent. Kama mtu hayuko sawa na hataki kukuambia, fine, endelea na maisha yako. By the way atakuwa anakupinguzia mawazo juu ya matatizo yake. We endelea na maisha yako, akijisikia kukuambia atakuambia, akijisikia kuacha aache. Mkijifanya mnajua kukea sana mnawaboa wenzenu, na mnawafanya wawaone cheap useless entities...
 
mjomba, hiyo mbona issue ndogo, ungeza manjonjo kidogo, kuna kitu anatafuta na siyo anatatizo. usikimbilie sana kumwona anatatizo, just relax utajua wapi panamfaa. sometimes ni janja tuu ya kutafutia usingizi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…