Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,196
- 4,552
Ndugu wanajamii,napenda kuuliza nimekuwa nkiona majadiliano ya jinc ya kuitambua cm ambayo inabetr inayotunza chaji mda mrefu hasa kupitia specification za simu husika.Binafs yangu bado sijaelewa kwa kna mnatofautishaje hzo specs,hvyo anayejua anijuze kwa kunieleza kwa kna .ASANTEN