Dejane JF-Expert Member Joined Jan 1, 2014 Posts 51,024 Reaction score 72,343 Nov 4, 2014 #21 Muuza Sura said: Kuna ngoma kaimba na mshkaji wake inaitwa Tuma. .bonge la ngoma. .labda bush face ndo inamuangusha maana jamaa amekaa kikanda ya ziwa sana usoni Click to expand... Jamaniiiii looo sema tu ana sura ngumu lakini siku hizi kapendezaaaa
Muuza Sura said: Kuna ngoma kaimba na mshkaji wake inaitwa Tuma. .bonge la ngoma. .labda bush face ndo inamuangusha maana jamaa amekaa kikanda ya ziwa sana usoni Click to expand... Jamaniiiii looo sema tu ana sura ngumu lakini siku hizi kapendezaaaa
Ngongoseke JF-Expert Member Joined Jan 1, 2012 Posts 3,202 Reaction score 1,464 Nov 4, 2014 #22 Muuza Sura said: Kuna ngoma kaimba na mshkaji wake inaitwa Tuma. .bonge la ngoma. .labda bush face ndo inamuangusha maana jamaa amekaa kikanda ya ziwa sana usoni Click to expand... Muuza Sura tuko wengi wa Kanda ya ziwa sura zetu zikoje? Au majungu tu Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Muuza Sura said: Kuna ngoma kaimba na mshkaji wake inaitwa Tuma. .bonge la ngoma. .labda bush face ndo inamuangusha maana jamaa amekaa kikanda ya ziwa sana usoni Click to expand... Muuza Sura tuko wengi wa Kanda ya ziwa sura zetu zikoje? Au majungu tu
Dejane JF-Expert Member Joined Jan 1, 2014 Posts 51,024 Reaction score 72,343 Nov 4, 2014 #23 Ngongoseke said: Muuza Sura tuko wengi wa Kanda ya ziwa sura zetu zikoje? Au majungu tu Click to expand... Hhhhhhaa eti ni bush face ana matusi huyu hemedy wetu Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Ngongoseke said: Muuza Sura tuko wengi wa Kanda ya ziwa sura zetu zikoje? Au majungu tu Click to expand... Hhhhhhaa eti ni bush face ana matusi huyu hemedy wetu
Ngongoseke JF-Expert Member Joined Jan 1, 2012 Posts 3,202 Reaction score 1,464 Nov 4, 2014 #24 Dinazarde said: Hhhhhhaa eti ni bush face ana matusi huyu hemedy wetu Click to expand... Yaani hapa katutukana wote wa Kanda ya ziwa huyu
Dinazarde said: Hhhhhhaa eti ni bush face ana matusi huyu hemedy wetu Click to expand... Yaani hapa katutukana wote wa Kanda ya ziwa huyu
Dejane JF-Expert Member Joined Jan 1, 2014 Posts 51,024 Reaction score 72,343 Nov 4, 2014 #25 Ngongoseke said: Yaani hapa katutukana wote wa Kanda ya ziwa huyu Click to expand... Ndio hivyo nae mtukane mtoke droo mwambie na wao wa pwan ni walaini kweliii wanashindia chips na miguu ya kuku
Ngongoseke said: Yaani hapa katutukana wote wa Kanda ya ziwa huyu Click to expand... Ndio hivyo nae mtukane mtoke droo mwambie na wao wa pwan ni walaini kweliii wanashindia chips na miguu ya kuku
kende JF-Expert Member Joined Dec 2, 2013 Posts 3,527 Reaction score 1,669 Nov 4, 2014 #26 Naunga mkono hoja jamaa amekaa kigoroko sana japo tunyimbo twake tutamu
Super Handsome JF-Expert Member Joined Jul 16, 2013 Posts 3,844 Reaction score 6,468 Nov 4, 2014 #27 kende said: Naunga mkono hoja jamaa amekaa kigoroko sana japo tunyimbo twake tutamu Click to expand... Ha ha ha hizi ID hizi sikuwahi kua shabiki wake hata kidogo uso wake unangozi nzito kama ya bambo
kende said: Naunga mkono hoja jamaa amekaa kigoroko sana japo tunyimbo twake tutamu Click to expand... Ha ha ha hizi ID hizi sikuwahi kua shabiki wake hata kidogo uso wake unangozi nzito kama ya bambo
Muuza Sura JF-Expert Member Joined Aug 1, 2011 Posts 1,985 Reaction score 1,353 Nov 4, 2014 #28 Ngongoseke said: Muuza Sura tuko wengi wa Kanda ya ziwa sura zetu zikoje? Au majungu tu Click to expand... siyo wote wa kanda ya ziwa wenye sura za kikanda ya ziwa mkuu..ni kama sura za kichaga na watu wa kusini!kuna sura ukiziona unajua kabisa huyu wa wapi
Ngongoseke said: Muuza Sura tuko wengi wa Kanda ya ziwa sura zetu zikoje? Au majungu tu Click to expand... siyo wote wa kanda ya ziwa wenye sura za kikanda ya ziwa mkuu..ni kama sura za kichaga na watu wa kusini!kuna sura ukiziona unajua kabisa huyu wa wapi
Muuza Sura JF-Expert Member Joined Aug 1, 2011 Posts 1,985 Reaction score 1,353 Nov 4, 2014 #29 kende said: Naunga mkono hoja jamaa amekaa kigoroko sana japo tunyimbo twake tutamu Click to expand... ile sura ya jamaa haipendezi kumuita baba yake daddy
kende said: Naunga mkono hoja jamaa amekaa kigoroko sana japo tunyimbo twake tutamu Click to expand... ile sura ya jamaa haipendezi kumuita baba yake daddy
Dejane JF-Expert Member Joined Jan 1, 2014 Posts 51,024 Reaction score 72,343 Nov 4, 2014 #30 Muuza Sura said: siyo wote wa kanda ya ziwa wenye sura za kikanda ya ziwa mkuu..ni kama sura za kichaga na watu wa kusini!kuna sura ukiziona unajua kabisa huyu wa wapi Click to expand... Hhhhhaaaaaaaaa loo
Muuza Sura said: siyo wote wa kanda ya ziwa wenye sura za kikanda ya ziwa mkuu..ni kama sura za kichaga na watu wa kusini!kuna sura ukiziona unajua kabisa huyu wa wapi Click to expand... Hhhhhaaaaaaaaa loo
Raynavero JF-Expert Member Joined Apr 29, 2014 Posts 38,380 Reaction score 56,080 Nov 6, 2014 #31 Muuza Sura said: Kuna ngoma kaimba na mshkaji wake inaitwa Tuma. .bonge la ngoma. .labda bush face ndo inamuangusha maana jamaa amekaa kikanda ya ziwa sana usoni Click to expand... hahahaaaaa
Muuza Sura said: Kuna ngoma kaimba na mshkaji wake inaitwa Tuma. .bonge la ngoma. .labda bush face ndo inamuangusha maana jamaa amekaa kikanda ya ziwa sana usoni Click to expand... hahahaaaaa
Miiku JF-Expert Member Joined Oct 8, 2014 Posts 3,835 Reaction score 2,650 Nov 6, 2014 #32 kitu tumaaa ni kikali sana. Dj arungu amemsuport sana kijana.
warumi R I P Joined May 6, 2013 Posts 16,213 Reaction score 18,457 Nov 16, 2014 #33 BRN said: Kwa wanaofuatilia muziki wa Tanzania hili sio jina geni..mimi binafsi namkubali huyu jamaa kwani anamashairi na nyimbo za huzuni kama vile Narudi Kijijini. Click to expand... Hadija kwangu is the best kwa kweli
BRN said: Kwa wanaofuatilia muziki wa Tanzania hili sio jina geni..mimi binafsi namkubali huyu jamaa kwani anamashairi na nyimbo za huzuni kama vile Narudi Kijijini. Click to expand... Hadija kwangu is the best kwa kweli