Best Nasso

Naunga mkono hoja jamaa amekaa kigoroko sana japo tunyimbo twake tutamu
 
siyo wote wa kanda ya ziwa wenye sura za kikanda ya ziwa mkuu..ni kama sura za kichaga na watu wa kusini!kuna sura ukiziona unajua kabisa huyu wa wapi


Hhhhhaaaaaaaaa loo
 
kitu tumaaa ni kikali sana. Dj arungu amemsuport sana kijana.
 
Kwa wanaofuatilia muziki wa Tanzania hili sio jina geni..mimi binafsi namkubali huyu jamaa kwani anamashairi na nyimbo za huzuni kama vile Narudi Kijijini.

Hadija kwangu is the best kwa kweli
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…