Kwa kuchapia, TanzaniaDaima halina mpinzani. Wanachapia mpaka unashindwa kukasirika kwa watu kutojua lugha mama bali unaishia kuwaonea huruma. Hata magazeti ya kiingereza nako ni tabu tupu maana ungetegemea wawatumie watu walio makini zaidi lakini wapi. Magazeti kama The Citizen na The Guardian, makali zinazokuwa na lugha tamu ni zile za kimataifa au editorial. Stori za mtaani ni kiingereza kichafu balaa.