Hao ni baadhi ya viongozi ambao sitamani tena kuwa mfano wa kuigwa kwangu tena katika maisha ya kisiasa na maisha kwa ujumla.
Nikiangalia heshima waliojijengea na waliyojengewa katika utumishi wao na maisha ya kisiasa siwaelewi lakini pia wananiumiza!.
Juzi nikawa najiuliza, hivi hawa wazee wangu na viongozi wangu nini kilichopelekea kukosa msimamo katika maamzi yao ya kisiasa mpaka kupelekea maisha haya ya kutoaminika, katika jamii na kisiasa pia?.
Je ni tamaa ya fedha au tamaa madaraka imepekea maisha haya waliyoyachagua?.
Kwenye chama Chetu pendwa hatuna imani nao, huko walikotoka nako pia ndio usiseme, na ndani ya jamii yetu ya Kitanzania hatuwaelewi kabisa!.
Yote na yote itoshe kusema ukweli wa ndani ya nafsi yangu, hawa wazee wangu na viongozi wangu wananiumiza moyoni mwangu!. Nimeamini maneno ya jamii yangu yanayosema, "mwanaume hujigeuza kitandani nasi katika msimamo au katika kauli zake".
Mungu awasaidie katika maisha hayo waliyoyachagua.
Nikiangalia heshima waliojijengea na waliyojengewa katika utumishi wao na maisha ya kisiasa siwaelewi lakini pia wananiumiza!.
Juzi nikawa najiuliza, hivi hawa wazee wangu na viongozi wangu nini kilichopelekea kukosa msimamo katika maamzi yao ya kisiasa mpaka kupelekea maisha haya ya kutoaminika, katika jamii na kisiasa pia?.
Je ni tamaa ya fedha au tamaa madaraka imepekea maisha haya waliyoyachagua?.
Kwenye chama Chetu pendwa hatuna imani nao, huko walikotoka nako pia ndio usiseme, na ndani ya jamii yetu ya Kitanzania hatuwaelewi kabisa!.
Yote na yote itoshe kusema ukweli wa ndani ya nafsi yangu, hawa wazee wangu na viongozi wangu wananiumiza moyoni mwangu!. Nimeamini maneno ya jamii yangu yanayosema, "mwanaume hujigeuza kitandani nasi katika msimamo au katika kauli zake".
Mungu awasaidie katika maisha hayo waliyoyachagua.