Bernard Membe aonesha hofu ya kutengwa kimataifa na kushauri kwa hekima

Nyie wapumbavu tunapambana corona, Dunia mzima iko katika mapambano, Mnazungumzia kutengwa, eti watalii sijui ujinga ujinga gani, kuweni na hekima kidogo basi!
Kila nchi inapambana kwa namna yake nyie mnaongea habari za kutengwa! Mnamsifia mjinga mmoja wakati mnaona kila nchi imejitenga kimapambano!!!
Au kwasababu mnataka Lockdown kama nchi nyingi zilizofanya ili tuonekane tunafanya kama nchi hizoo.
Cmon hamiwezi kiwa wapumbavu namna hii wakati huu Wa ugonjwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa matusi yako tu ni wazi kuwa wewe ni wa kupuuzwa huna hoja bali machozi ya mamba mla watu tu.

Mkuu hatutakujibu kwa matusi kama unalivyotaka. Ila kicho dhahiri ni kuwa tumekupuuza vilivyo.
 
Nyie wapumbavu tunapambana corona, Dunia mzima iko katika mapambano, Mnazungumzia kutengwa, eti watalii sijui ujinga ujinga gani, kuweni na hekima kidogo basi!
Kila nchi inapambana kwa namna yake nyie mnaongea habari za kutengwa! Mnamsifia mjinga mmoja wakati mnaona kila nchi imejitenga kimapambano!!!
Au kwasababu mnataka Lockdown kama nchi nyingi zilizofanya ili tuonekane tunafanya kama nchi hizoo.
Cmon hamiwezi kiwa wapumbavu namna hii wakati huu Wa ugonjwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi neno lockdown unalielewaje? Mbona mnakuwa wazito kuelewa! Mfano alioutoa Jana Mbowe hukuelewa? Nini tatizo?
Kuifunga Dar isiwe na mahusiano mepesi na mikoa mingine kwa muda kunasaidia wagonjwa au wenye maambukizo kutoyasambaza sehemu nyingine. Hiyo inashida gani?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Membe yuko vizuri:

"Everyone, he warned, is unhappy with the way Tanzania is fighting the pandemic including the WHO, East African Leaders, SADC Leaders, African Union (AU), the IMF/ World bank, European countries, the United States as well as China."
Fikiria combi ya jiwe na yule baba wa jalalani-hao (wazalendo) ndio wanaendesha diplomasia ya nchi hii. Hapa ndio tutammisi babu Mahiga.
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Membe yuko vizuri:

"Everyone, he warned, is unhappy with the way Tanzania is fighting the pandemic including the WHO, East African Leaders, SADC Leaders, African Union (AU), the IMF/ World bank, European countries, the United States as well as China."
Hadi marafiki wa karibu wanasikitika akiwemo -Raila Odinga.
 
Viongozi wetu wakitoka madarakani ndipo hua wanapata busara-Generali Ulimwengu.

Enzi za Membe alitaka kuingia vitani na Malawi na Rwanda lkn kwa sasa sababu yuko benchi busara ameshazipata.

Though hii haipunguzi ukweli kwamba mahusiano yetu huko EAC/SADC/IMF/WHO tunazingua balaa yaani ile kishenzi tena Kinyamaaa.
Kwenye eneo la diplomasia ya kikanda na kimataifa hii awamu imefeli.
 
Enzi za utawala wa Mh Mkapa,alifanya kila liwezekanalo kufundisha mabadiliko ya nyakati kwa wakati tuliopo-Aliongelea transformation ya mfumo wa maisha na namna ya kuendana nayo:Globalization,Free Market Economy, Privatisation....Capitalism na mambo kama hayo.
Mzee alisema kuna checklist ya mambo ya mfumo wa kidunia ambayo lazima uendane nayo,ukienda tofauti maumivu yake ni makubwa...and in this Regard tukiwa skeptical kwa mambo mengi dunia haitatushirikisha kwenye new inventions kwa sababu wanajua tu we are laggards to every innovation!I!
Anyway, should we Rethink today we still can catch up but not later than now.

Sent using Jamii Forums mobile app
Big point, na viongoz wa CCM lazima wajue kuwa, hali nzur ya ki diplomasia imepambaniwa, na tukiiharibu itatuchukua miaka mingi sana kuirejesha...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunao bado viongozi wenye busara na uzoefu, tatizo wako nje ya system na hawasikilizwi zaidi ya kuonekana maadui. Bernard Membe ameshtushwa na hali inayo endelea hasa kuhusu virus vya corona na mahusiano yetu na nchi nyingine na mashirika ya kimataifa.

======

Isolation: Tanzania’s downfall – Former Foreign Minister
By Joyce Kisaka

Defying the World Health Organization (WHO) and refusing to cooperate with global and regional partners in the fight against the Corona virus will cost Tanzania astronomically, the Former Foreign Minister of Tanzania, Bernard Membe has said.

“We will be denied funds, tourism will fall, flights will not come, investors will be told not to come to Tanzania and we could even be sanctioned,” Membe told this publication.

Everyone, he warned, is unhappy with the way Tanzania is fighting the pandemic including the WHO, East African Leaders, SADC Leaders, African Union (AU), the IMF/ World bank, European countries, the United States as well as China.

“It is just a simple matter of understanding that a global crisis such as this one calls for a global solution. Global and regional solutions require solidarity and collective approaches and strategies. We are seen as isolating ourselves, blaming and suspecting even our best friends on earth. We need to work together with the world to mitigate and resolve this pandemic. I am urging the President and Government to do so, we must change and spin with the world!” said Membe.

He urged the country to fully comply with the requirements set by the WHO and follow the advice of experts.

Source: Isolation: Tanzania’s downfall – Former Foreign Minister

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunao bado viongozi wenye busara na uzoefu, tatizo wako nje ya system na hawasikilizwi zaidi ya kuonekana maadui. Bernard Membe ameshtushwa na hali inayo endelea hasa kuhusu virus vya corona na mahusiano yetu na nchi nyingine na mashirika ya kimataifa.

======

Isolation: Tanzania’s downfall – Former Foreign Minister
By Joyce Kisaka

Defying the World Health Organization (WHO) and refusing to cooperate with global and regional partners in the fight against the Corona virus will cost Tanzania astronomically, the Former Foreign Minister of Tanzania, Bernard Membe has said.

“We will be denied funds, tourism will fall, flights will not come, investors will be told not to come to Tanzania and we could even be sanctioned,” Membe told this publication.

Everyone, he warned, is unhappy with the way Tanzania is fighting the pandemic including the WHO, East African Leaders, SADC Leaders, African Union (AU), the IMF/ World bank, European countries, the United States as well as China.

“It is just a simple matter of understanding that a global crisis such as this one calls for a global solution. Global and regional solutions require solidarity and collective approaches and strategies. We are seen as isolating ourselves, blaming and suspecting even our best friends on earth. We need to work together with the world to mitigate and resolve this pandemic. I am urging the President and Government to do so, we must change and spin with the world!” said Membe.

He urged the country to fully comply with the requirements set by the WHO and follow the advice of experts.

Source: Isolation: Tanzania’s downfall – Former Foreign Minister

Sent using Jamii Forums mobile app
All incompetent individuals have nothing except blaming other for their own inconvenience,our leader is in the same busket
 
Manyanyaso sasa yameanza rasmi kwa majirani. Akufukuzaye hakuambii toka, tuta nyanyapaliwa kama mbwa koko mpaka tutamchukia mzee wetu
Screenshot_20200509-214955.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
k
Tunao bado viongozi wenye busara na uzoefu, tatizo wako nje ya system na hawasikilizwi zaidi ya kuonekana maadui. Bernard Membe ameshtushwa na hali inayo endelea hasa kuhusu virus vya corona na mahusiano yetu na nchi nyingine na mashirika ya kimataifa.

======

Isolation: Tanzania’s downfall – Former Foreign Minister
By Joyce Kisaka

Defying the World Health Organization (WHO) and refusing to cooperate with global and regional partners in the fight against the Corona virus will cost Tanzania astronomically, the Former Foreign Minister of Tanzania, Bernard Membe has said.

“We will be denied funds, tourism will fall, flights will not come, investors will be told not to come to Tanzania and we could even be sanctioned,” Membe told this publication.

Everyone, he warned, is unhappy with the way Tanzania is fighting the pandemic including the WHO, East African Leaders, SADC Leaders, African Union (AU), the IMF/ World bank, European countries, the United States as well as China.

“It is just a simple matter of understanding that a global crisis such as this one calls for a global solution. Global and regional solutions require solidarity and collective approaches and strategies. We are seen as isolating ourselves, blaming and suspecting even our best friends on earth. We need to work together with the world to mitigate and resolve this pandemic. I am urging the President and Government to do so, we must change and spin with the world!” said Membe.

He urged the country to fully comply with the requirements set by the WHO and follow the advice of experts.

Source: Isolation: Tanzania’s downfall – Former Foreign Minister

Sent using Jamii Forums mobile app
Kamanda Membe ni hazina subirini mtaona.
 
Tunao bado viongozi wenye busara na uzoefu, tatizo wako nje ya system na hawasikilizwi zaidi ya kuonekana maadui. Bernard Membe ameshtushwa na hali inayo endelea hasa kuhusu virus vya corona na mahusiano yetu na nchi nyingine na mashirika ya kimataifa.

======

Isolation: Tanzania’s downfall – Former Foreign Minister
By Joyce Kisaka

Defying the World Health Organization (WHO) and refusing to cooperate with global and regional partners in the fight against the Corona virus will cost Tanzania astronomically, the Former Foreign Minister of Tanzania, Bernard Membe has said.

“We will be denied funds, tourism will fall, flights will not come, investors will be told not to come to Tanzania and we could even be sanctioned,” Membe told this publication.

Everyone, he warned, is unhappy with the way Tanzania is fighting the pandemic including the WHO, East African Leaders, SADC Leaders, African Union (AU), the IMF/ World bank, European countries, the United States as well as China.

“It is just a simple matter of understanding that a global crisis such as this one calls for a global solution. Global and regional solutions require solidarity and collective approaches and strategies. We are seen as isolating ourselves, blaming and suspecting even our best friends on earth. We need to work together with the world to mitigate and resolve this pandemic. I am urging the President and Government to do so, we must change and spin with the world!” said Membe.

He urged the country to fully comply with the requirements set by the WHO and follow the advice of experts.

Source: Isolation: Tanzania’s downfall – Former Foreign Minister

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Membe hana chochote!! Tanzania hakuna tulichokosea!! Tumechukua hatua tena kwa haraka kulingana na mazingira yetu.
Shule zilifungwa siku moja tu baada ya mgonjwa wa kwanza wa korona kupatikana na watu kuelekezwa namna ya kujikinga kwa kuvaa Barakoa na kunawa mikono mara kwa mara na kutokukaribiana na watu. Watu wakaambiwa wasitembee kama si lazima.
Marekani na nchi zingine za ulaya walifunga shule baada ya zaidi ya mwezi mmoja baada ya kupatikana mgonjwa wa kwanza!! Walijiwekea lockdown lakini zimewashinda na wameamua kufungua japo maambukixi mapya yapo kwa mamia na maelfu kila siku!! Hawana ubavu wa kutulazimisha kufanya kile ambacho wao kimewashinda!!
Ni china na korea ya kusini peke yao ndio waliofungua nchi zao baada ya maambukizi ya ndani kuisha!! Siku tatu zilizopita vifo kila siku vilikuwa zaidi ya 2000 kule marekani na maambukizi mapya zaidi ya 10000!! Lakini wameshaanza kuondoa lockdown!!! Hispania wameshaondoa, Italia wameshaondoa japo wote hao vifo ni zaidi ya 200 kila siku na mamia ya maambukizi mapya kila siku!!
Membe aanze kuwaambia Marekani kwanza kuwa watatengwa maana wameanza kuachana na lockdown kabla ya kuushinda ugonjwa!! Vinginevyo watanzania tukatae kumembeka!! Membe hatumembeki ng'o!!!!
 
All incompetent individuals have nothing except blaming other for their own inconvenience,our leader is in the same busket
Membe was a failure, is a failure, and will always be a failure. Watu mnang'ang'ania kujifungia je mtaweza? au tutaweza? Hebu fikiria mama lishe, muuza ubuyu, muuza nyanya, na wale wote wanaotegemea biashara ndogo kulisha familia zao wakifungiwa watakula wapi? Tunajilinganisha na USA ambayo ina uwezo wa kumpa mlipa kodi mmoja mmoja $1200 (sh 2,700,000) za kujikimu.

Magufuli kalaumiwa, lakini mimi naona kafanikiwa kwa sababu maambukizi na vifo TZ ni vichache saana. TZ imejikita kwenye elimu ya kinga na mimi naona imeleta mafanikio makubwa kuliko jirani yetu Kenya ambapo watu wanauwawa na kuchapwa na polisi eti kupunguza ugonjwa. Tangu lini tukaruhusu kuuwa kuzuia ugonjwa. Mimi naipongeza serkali kwa kutilia mkazo elimu ya kuzuia.

Kuhusu Membe na hili wala hajui lolote. Ombi lake ni corona iongezeke ili ndoto yake itimie. Lakini kumbuka dua la kuku halimpati mwewe. Ataomba na kuswali lakini Corona TZ inapungua na hao anaowasifu inazidi kuongezeka.
 
Back
Top Bottom