BENZ FOR SALE FOR 5.5 MILL

BENZ FOR SALE FOR 5.5 MILL

Watu wengi hawafahamu.

Benz kuingiza nchini, Kodi yake si mchezo. Ila ukiwa hapa nchini kuiuza ni issue. Hata milion 3 utauza.

Kikubwa fahamu matatizo yake, na gharama za kurekebisha kabla ya kununua.

Ila kama hufahamu magari, basi usinunue gari lenye matatizo.
 
Back
Top Bottom