"CHAUMMA leo ni chama chenye wanachama wengi, kinaweza kuwa kinazidiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) tu ambacho kimejijenga kwa dola kwa miaka yote, lakini CHAUMMA ni chama chenye wanachama wengi, na athari yake utaiona kwenye uchaguzi",- Kigaila.
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Bara, Benson Kigaila akizungumza na Wilberforce Ngoto wa kipindi cha Maswali na Majibu kinachorushwa na Jambo TV.