Benki ya Dunia: Ingawa Uchumi wa Dunia Utadorora mwaka 2023, Uchumi wa Tanzania utakua kwa asilimia 5.6

Kila siku huwa nakwambia we jamaa ni kilaza kweli huwa hujui ata source ya hizo data zako nor how do people derive to them.

Source ya hizo data ni NSB na ni average ya CPI market basket (nini kimo ndani ya market basket serikali ndio inaamua). Sasa wewe ata ukiwekea original source uwezi tambua halafu unadai umesoma uchumi.

View attachment 2483722

Angalia hapo walipo highlight na Total all item index mwisho utaona 4.8 hiyo ndio inflation rate na wote wanaitoa hapo including hizo nakala zako ni average ya components bidhaa kadhaa.

Food and non alcoholic beverages ni 9.7 (sasa ni bidhaa gani wameweka?), it’s easy to fool hata hao WB wakiamua, lakini kwenye makusanyo; malipo ya madeni ndio msema kweli na hali ni tete.

Hadithi ndefu kukuelezea components zipi kama ata basic understanding ya vitu unavyotupigia kelele huna.
Mkuu unapata tabu bure, huyu ni CHAWA wa mama wale aliowataja juzi Kila kitu ni kusifia tu. Hajui kitu kuhusu uchumi ana ushahidi wa kuokoteza tu. Fatilia threads zake utanielewa, usitumie nguvu nyingi kumuelewesha yupo kazini (kazi ya uchawa).
 

Wewe jamaa unakuwa CHAWA mpaka unatia aibu, nahisi upo kwenye PAYROLL kuleta Kila muda mada za kusifia serikali hii. Ifike wakati uone aibu kama mwanaume unayedindisha. Hujiulizi hii thread watu wote wanakupinga?, Hadi waliosoma uchumi?, Unaonekana maisha yako yanategemea kusifia serikali, hata wafanyabiashara wakubwa akina Azam na Mo wanajua uhalisia hawewezi kuongea huu u.senge unaoleta hapa, unahisi una taarifa za uhakika kuliko watu wote?.. Eti uchumi wa Dunia utashuka 2023 lakini Tanzania utapanda. M.senge wewe huna akili. Ona aibu basi.
 
Hadithi za kupika.

Wewe tumia akili yako ndogo iliyo nayo, vutu vya msingi vyote vimepanda bei kwa zaidi ya 80% bado unaambiwa mfumuko wa bei uko 4.8, 4.7.

Kwamba necessary goods zipande bei kwa 80% na still inflation iwe 4.8%.

Kwa maana nyingine ni kwamba kabila ya kupanda kwa bei ya bidhaa muhimu, tulikua na negative inflation, kwa maana kwamba we had no inflation at all, sio?

Hapa December 2022 ndio vitu vimepanda bei zaidi halafu NBC wakatoa report ya inflation kwamba imeshuka kwa digit moja kutoka 4.9 hadi 4.8 nikajua hii nchi hatuko serious.
 
Ongeza juhudi "chawa wa mama" soon utaonwa
Kuonwa nini
Wewe jamaa unakuwa CHAWA mpaka unatia aibu, nahisi upo kwenye PAYROLL kuleta Kila muda mada za kusifia serikali hii. Ifike wakati uone aibu kama mwanaume unayedindisha. Hujiulizi hii thread watu wote wanakupinga?, Hadi waliosoma uchumi?, Unaonekana maisha yako yanategemea kusifia serikali, hata wafanyabiashara wakubwa akina Azam na Mo wanajua uhalisia hawewezi kuongea huu u.senge unaoleta hapa, unahisi una taarifa za uhakika kuliko watu wote?.. Eti uchumi wa Dunia utashuka 2023 lakini Tanzania utapanda. M.senge wewe huna akili. Ona aibu basi.
Mpumbavu kama wewe ndio unaendesha maisha Yako Kwa kuangalia wingi wa wajinga wenzio,Mimi nasimama na facts kama zinavyowasilishwa kwa numbers nothing else..

Pili Ulitegemea jf humu uandike hoja ya serikali kufanya vizuri watu watashangilia? Jf imejaa Wapinzani na majinga kama wewe ambao wandhani kupinga kila kitu hata ambacho namba zinaongea itabadili maisha Yao..

Ndio Niko kwenye payroll kwani hujui serikali Ina watumishi karibia mil.1? Wote wako kwenye payroll hao,au ni dhambi kuwa kwenye payroll? Kama haupo komaa.

Mwisho sio Kila mtu anaeunga mkono serikali ni chawa,hata nikiwa chawa shida Iko wapi labda? Na wewe kuwa chawa wa kupinga kwani umekatazwa? Toka umeanza kupinga umeongezewa bei gani huko mifukoni mwako? Mpumbavu mkubwa.
 
US inflation rate 6.5%
EU average 11%
U.K. 10%
Global average 8.8%

Tanzania nchi ambayo ni net importer inflation rate 4.8% nadhani ndio lowest duniani kipindi hiki.

Hao jamaa wa W.B walikuwa wanatukebehi wakati wanasikiliza pumba za Mwigulu wana agenda yao debt trap, waje wachukue gas kirahisi.
WB wanachukua Namba zilizopikwa kutoka kwa Mwigulu.

Hawatafiti chochote
 
Kila siku kuna mada za madeni China kukamata vitega uchumi vya nchi.

Anyway a good example ni wa kanchi kadogo in the pacific islands kanaitwa Nauru.



Jamaa walikakopesha wakati wanataka phosphate, na kenyewe kakanua vitega uchumi kwa uelewa phosphate ina mwisho. Hela yake ikawekeza kwenye majengo na mambo mengine ya ovyo kama future income stream.

Wazungu wakakopesha kweli, baada ya phosphate kuisha hana hela ya kulipa madeni wakakomba assets zote nje ya nchi. Ikatoka kuwa nchi yenye moja gdp kubwa per capita, mpaka one of the poorest nation in the short space of time.

Malawi pressure kubwa ya kuharakisha mradi wao wa gas ni madeni na mkataba wenyewe hakuna anaejua ukoje.

Hakuna mtu atakupa madeni kirahisi nchi maskini, Kenya ambao uchumi wao ni mara mbili yetu awapewi mikopo kirahisi kama Tanzania kwa sasa.

Ni hivi mifano ni mingi Venezuela baada ya nationalisation ya mafuta yao ilitoka kuwa nchi inayovutia highest FDI mpaka kuwa broke.

Kwanza hatuna deni kubwa na China Wala wazungu..tuna deni na WB,IMF na Iran Sasa hapo sijui hizo taasisi ndizo zitakamata gas au? Uzushi.

Pili deni kubwa tulilonalo ni deni la ndani ya Nchi Sasa sijui nani atatukamata,

Tatu Tanzania Haina rasilimali za kioekee Zenye mahitaji makubwa Duniani hatuna ,madini na gas ni za kubahatisha na kiwangi kinduchu mno kuwashughulisha wazungu..

Zingekuwepo ungewaona hapa Toka enzi za ukoloni ,wazungu wanataka uranium,lithium, cooper,manganise,bixite,mafuta,gas nk hawana shida na mapambo ya merelani Wala tugas twa Ntwara .Mafuta na Gas watayapata Msumbiju,na Nchi zote za Afrika wanazozalisha mafuta.
 
You have a long way to learn how the world works.

It won’t be their first time doing it.

Elewa tu uongo tunao ongopeana sisi na kusambazwa na wataalamu ambao ni sehemu ya genge la wahuni. Mabeberu kufumbia macho sio kwamba hawajui even if not by actual facts, but global variables zinazofanya inflation kubwa huko kwao ndio hizi hizi zinazotukabili na sisi.

Jumlisha sisi tuna gdp per capita ndogo, tax base ndogo, net importer, declining dollar reserves, few option to acquire capital funds and a highly corrupted government na wako kimya tu.

Kama una umri wa kuwa ulisoma gazeti la ‘Sani’ ata Ndumilakuwili alikuwa akishapora jamaa kama wanamkimbiza awaiti mwizi ye mwenyewe anajistukia kuna namna hawa watu wakinikamata sio bure wanikimbize kimya kimya.

Realistically hao wanaotoa mikopo wanajua hali halisi ya uchumi itakuwa mbaya zaidi kwetu kushinda kwao ila bado wanatoa hela kirahisi.
Mimi nafanya kazi sekta mojawapo nchi hii, Tena field kabisa, najua namna hii ilivyo MABINGWA SANA wa KUPIKA NAMBA.

Na lengo kuu huwa ni:

  • Sababu za kisiasa.
  • Kudanganya wafadhili ( maana wanaamini sana Data ) watoe pesa na
  • Kuombea Mikopo.

Ukiamini Data za nchi hii, Utakuwa ZUZU kabisa la mwisho.
 
Hadithi za kupika.

Wewe tumia akili yako ndogo iliyo nayo, vutu vya msingi vyote vimepanda bei kwa zaidi ya 80% bado unaambiwa mfumuko wa bei uko 4.8, 4.7.

Kwamba necessary goods zipande bei kwa 80% na still inflation iwe 4.8%.

Kwa maana nyingine ni kwamba kabila ya kupanda kwa bei ya bidhaa muhimu, tulikua na negative inflation, kwa maana kwamba we had no inflation at all, sio?

Hapa December 2022 ndio vitu vimepanda bei zaidi halafu NBC wakatoa report ya inflation kwamba imeshuka kwa digit moja kutoka 4.9 hadi 4.8 nikajua hii nchi hatuko serious.
He lucks even common sense, yeye anadhani sisi wote simple minded kama alivyo.
 
Mimi nafanya kazi sekta mojawapo nchi hii, Tena field kabisa, najua namna hii ilivyo MABINGWA SANA wa KUPIKA NAMBA.

Na lengo kuu huwa ni:

  • Sababu za kisiasa.
  • Kudanganya wafadhili ( maana wanaamini sana Data ) watoe pesa na
  • Kuombea Mikopo.

Ukiamini Data za nchi hii, Utakuwa ZUZU kabisa la mwisho.
Hao wafadhili hizo data trust me awawezi amini hasa kipindi hiki.

Iwapo average global inflation ni 8.8% anything between 6.5% to 10% would be expected to be normal. Above 20% lazima kuna factors nyingine zinachangia and below 6.5% either una mafuta yako, meli zako, high government subsidisation and so forth. They invented ‘standard deviation’ just to analyse data in such situations and interpret.

Kwa ivyo kwa nchi kama Tanzania kusema wana inflation ya 4.8% halafu ni net importer its not rocket science, kubaini kiwango cha ujinga wetu kudhani unaweza wa ongopea.

Only that, at times people have better things to do than scrutinising products used in justifying inflation. Considering the obvious is known.
 
Kwanza hatuna deni kubwa na China Wala wazungu..tuna deni na WB,IMF na Iran Sasa hapo sijui hizo taasisi ndizo zitakamata gas au? Uzushi.

Pili deni kubwa tulilonalo ni deni la ndani ya Nchi Sasa sijui nani atatukamata,

Tatu Tanzania Haina rasilimali za kioekee Zenye mahitaji makubwa Duniani hatuna ,madini na gas ni za kubahatisha na kiwangi kinduchu mno kuwashughulisha wazungu..

Zingekuwepo ungewaona hapa Toka enzi za ukoloni ,wazungu wanataka uranium,lithium, cooper,manganise,bixite,mafuta,gas nk hawana shida na mapambo ya merelani Wala tugas twa Ntwara .Mafuta na Gas watayapata Msumbiju,na Nchi zote za Afrika wanazozalisha mafuta.
We jamaa hili jukwaa sio kama vikao vya kahawa, majukwaa ya siasa vijijini au media outlets mnapopeleka wachambuzi wenu uchwara kuropoka and non-the-wiser to question hizo porojo.

IMF na WB unadhani wana hela zao? Wao wanachafanya ni ku facilitate mikopo tu kama middlemen. Hizo hela za IMF nyingi ni za serikali za mabeberu na hela WB ni private banks. Hizo taasisi zinakopesha kwa niaba yao tu.

Hivi hadi mtu atake kujenga LNG plant ya $40 billion, kuna gas kiduchu hapo. You do know hiyo inaweza kuwa amongst the top 5 expensive plants in the world na hiyo hela inatakiwa ilipwe na gas income only.

Mwisho habari za Daily news sio data, hiyo ni news article. Tena ni mali ya serikali so we expect bias writing and bias representation of their data sources with the aim of representing the government positively.
 
Back
Top Bottom