Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,030
- 1,384
Watu wapo hadi wanaochukulia Baclays mkuu.Kwa hiyo lile agizo la Magufuli lilipuuzwa?
Pengine hata kumbukumbu hana kama alisema hivyo!!!!
Watu wapo hadi wanaochukulia Baclays mkuu.Kwa hiyo lile agizo la Magufuli lilipuuzwa?
Siyo Urusi ni SwedenKabisa tena ya kutoka Urusi!
Hata hawana uhusiano dr amon alikuwa mtu wa mby uyu ni mtu wa tangaHuyu atakuwa mtoto wa Dr Amon Nsekela aliyewahi kuwa MD wa iliyokuwa NBC miaka ya nyuma au
Ni mahaba tu maana benki kubwa nchini ni crdb na nmb inakuaje huna facts unasema benki hii ni ya ovyo na hizo bank m na twiga nk zilizofungiwa utasemaje kama si ulimbukeni na umbumbu wako tuBenki ya hovyo kivipi? NMB kama haiongozi kwa faida ni ya pili nyuma ya CRDB.
Bodi ya crdb haiwez kuruhusu Hilo kutokeaNakuangalia tu halafu nasema hiiiiiiiiiiiiiì
Wewe hujui ila unajifanya unajua kwa sasa hakuna benk ya kibiashara yenye pesa za serikali zaid ya Bot yenyewe ndio maana twiga,bank m zinakufa kwa kukosa mitajiServices to the customer ni ya hovyo! Hovyo kabisa! Faida wanapata kwa vile serikali imewalazimisha watumishi wote kupokea mishahara huko! Fedha za serikali ziko huko, siyo kuwa wanatafuta wateja na kuwavutia kwenda huko, never!
nadhani wewe ndiye huji, kama unajua unajua kidogo! Mishara ya watumishi inapokelewa BOT?Wewe hujui ila unajifanya unajua kwa sasa hakuna benk ya kibiashara yenye pesa za serikali zaid ya Bot yenyewe ndio maana twiga,bank m zinakufa kwa kukosa mitaji
Mishahara sio deposit inaingia na kutoka na inaingizwa na hazina kwenye mabenki ya kibiashara ikiwemo nmb ,crdb,nbc na tpb banknadhani wewe ndiye huji, kama unajua unajua kidogo! Mishara ya watumishi inapokelewa BOT?