Benjamin Netanyahu: Ungekuwa wewe ungefanyaje?

Benjamin Netanyahu: Ungekuwa wewe ungefanyaje?

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,941
Reaction score
6,034
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu alihutubia ulimwengu kwa ujumbe mzito: "Ungefanya nini ikiwa magaidi wangewaua na kuwateka nyara watoto wako? Ungefanya kile tunachofanya." Alisisitiza tena kwamba Hamas inawajibika pekee kwa vita vinavyoendelea.

 
SAFI KABSA! Peleka moto. Kuna watu humu wamepokea dini ya warabu na kurithi tamaduni na mila za kiarabu( Yaani unapokea dini unarithi hadi uadui wa waarabu na wazungu) Kwa mfano yaani humu kuna mijitu ina bifu na Marekani Kwa niaba ya Iran. So sad
 
Huo ndo uhalisia wa mambo kichapo kiendelee. Huwez enda nyumban ata kama ni kwaadui yako ukateke mkewake watoto wake ubake dada zake uchukue mifugo yake utegemee et atakuacha salama kisa huwa anakuonea kila siku.tegemea huyo adui yako kuongeza kasi ya kipgo mpaka akuangamize kabisa ikibidi
 
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu alihutubia ulimwengu kwa ujumbe mzito: "Ungefanya nini ikiwa magaidi wangewaua na kuwateka nyara watoto wako? Ungefanya kile tunachofanya." Alisisitiza tena kwamba Hamas inawajibika pekee kwa vita vinavyoendelea.

View attachment 3275754
Wapalestina madai Yao ni yapi mpaka wakafikia Hatua hiyo?
 
Wapalestina madai Yao ni yapi mpaka wakafikia Hatua hiyo?
Kwaio madai yao ndio waue watu? Na kuteka watu hizo Dini zenu Za kufundisha kuua watu ovyo ovyoo Bora urudi kwenye Mila na desturi zenu za mababu zenu
 
Hamas imefika hatua hawajui nini la kufanya maana wakiachia mateka wote bado watapigwa na wakiendelea kuwashikilia bado kichapo kitaendelea
Magaidi wa Hamas walikosea sana kufanya shambulizi la Oct 07,2023 hawakufanya uchambuzi yakinifu kujua yatakayojiri baada ya kuchezea Korodani za Simba!! Hawakupaswa kabisa lakini kwa Imani ya dini yao waliaminishwa kuwa Mnyazi-mungu wao atawasaidia kuiangamiza Israel cha ajabu na yeye alishindwa na kuwaacha wapalestina wakichezea kipigo cha Mbwa-koko.
 
Back
Top Bottom