Bendera za CCM zaiteka Arusha

Ni mkakati wa kipekee wa Timu ya kampeni ya CCM jijini Arusha.Bendera za CCM zimesambaa Arusha nzima hasa hasa barabara ya Moshi-Arusha.
Kwa arusha na moshi kwakweli ni kama hakuna ccm watu wasijdanganye kabsa katka watu 100 ccm labda ni 2 kutumia bendera kama kipmo ni ujinga.. basi ACT kingekua chama kikuu Tz cz kimejaza bendera kila kona
 
zile za pale Tengeru au kuna nyingine ?
 
Kwa arusha na moshi kwakweli ni kama hakuna ccm watu wasijdanganye kabsa katka watu 100 ccm labda ni 2 kutumia bendera kama kipmo ni ujinga.. basi ACT kingekua chama kikuu Tz cz kimejaza bendera kila kona

Wakaskazini jamaa yenu mlutheri ana kimavi ..tokea 1995,2005 na sasa 2015 bado hata 3 bora hakuwahi kuwemo ..jamaa hauziki.
 
Ni mkakati wa kipekee wa Timu ya kampeni ya CCM jijini Arusha.Bendera za CCM zimesambaa Arusha nzima hasa hasa barabara ya Moshi-Arusha.
Ole wao, wangejua hizo bendera zinavyowaongezea watu hamasa na hasira ya kuitoa CCM madarakani! Lakini ndio hivyo tena sikio la kufa kwani linasikia dawa?

Hiyo inaitwa inverse proportion; the more CCM posters in Arusha, the less the number of votes CCM will get.
 
Usemalo no kweli huku Arusha ccm zimebaki benders na magari ya matangazo , halina mvuto tumelitupa kuleee tunasubiria mda ufike wabunge na madiwani wetu wakaapishwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…