Kwa arusha na moshi kwakweli ni kama hakuna ccm watu wasijdanganye kabsa katka watu 100 ccm labda ni 2 kutumia bendera kama kipmo ni ujinga.. basi ACT kingekua chama kikuu Tz cz kimejaza bendera kila kona
Kwa arusha na moshi kwakweli ni kama hakuna ccm watu wasijdanganye kabsa katka watu 100 ccm labda ni 2 kutumia bendera kama kipmo ni ujinga.. basi ACT kingekua chama kikuu Tz cz kimejaza bendera kila kona
Ole wao, wangejua hizo bendera zinavyowaongezea watu hamasa na hasira ya kuitoa CCM madarakani! Lakini ndio hivyo tena sikio la kufa kwani linasikia dawa?
Hiyo inaitwa inverse proportion; the more CCM posters in Arusha, the less the number of votes CCM will get.
Usemalo no kweli huku Arusha ccm zimebaki benders na magari ya matangazo , halina mvuto tumelitupa kuleee tunasubiria mda ufike wabunge na madiwani wetu wakaapishwe