dedon
JF-Expert Member
- Jul 6, 2015
- 1,507
- 2,058
Ben pol alikua ni moja wa wasanii ambao walikua hawana skendo na alijulikana kutokana na kaz zake nzur tu hakika nilikua namkubali kwan alikua tofauti na wasanii weng wa bongo
Sijui nn kikampata baada ya kipindi cha fiesta kumpandisha snura na kumla denda kwa stage(akat alikua na mpenz na mtt wake wakat huo)
sasaa hv naona amezidi kujishusha kwa kutafuta umaarufu na hz ishu zake na ebitoke kwa msanii wa hadhi yake ni kujizalilisha
juz tena naona wanapeana kiki yy na meneja sijui walimlipa ishu nzima na ebitoke yy ana kanusha
ben pol piga kaz achana na kiki ili ukue ki mziki kipaji unacho wana tunakukubali
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui nn kikampata baada ya kipindi cha fiesta kumpandisha snura na kumla denda kwa stage(akat alikua na mpenz na mtt wake wakat huo)
sasaa hv naona amezidi kujishusha kwa kutafuta umaarufu na hz ishu zake na ebitoke kwa msanii wa hadhi yake ni kujizalilisha
juz tena naona wanapeana kiki yy na meneja sijui walimlipa ishu nzima na ebitoke yy ana kanusha
ben pol piga kaz achana na kiki ili ukue ki mziki kipaji unacho wana tunakukubali
Sent using Jamii Forums mobile app