CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 11,600
- 25,522
Mkuu hujui hata Lugha Mujarabu Adhimu pendwa ya kiswahili.!!!!![emoji23] utatuvuruga, ligi ishaanza hyo
ufumue nn sasa!
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Kwahiyo sisi tuchangie suala la wakati uliopits litatusaidia nini? Kwanini hukulileta hili kipindi tunafanya usajili maana tulikuwa tukipita humu kuangalia mapendekezo ya mashabiki na jf tuliipa kipaumbele tukijua wengi ni great thinkerMkuu hujui hata Lugha Mujarabu Adhimu pendwa ya kiswahili.!!!!!
Jifunze kusoma na kuelewa kwa umakini kabla hujakurupuka ku koment.
Simba ina uhusiano gani na kuvuruga ligi???
Pili nimetumia neno ilipaswa kufumua Beki yote....
Ilipaswa ni neno linaloonyesha wakati uliopita.....sijasema inapaswa kufumua safu yake ya ulinzi kwa sasa.
Mungu anakuonaKwahiyo sisi tuchangie suala la wakati uliopits litatusaidia nini? Kwanini hukulileta hili kipindi tunafanya usajili maana tulikuwa tukipita humu kuangalia mapendekezo ya mashabiki na jf tuliipa kipaumbele tukijua wengi ni great thinker
Watu mihemuko hao, ungemnyamazia kimya tu.Mkuu hujui hata Lugha Mujarabu Adhimu pendwa ya kiswahili.!!!!!
Jifunze kusoma na kuelewa kwa umakini kabla hujakurupuka ku koment.
Simba ina uhusiano gani na kuvuruga ligi???
Pili nimetumia neno ilipaswa kufumua Beki yote....
Ilipaswa ni neno linaloonyesha wakati uliopita.....sijasema inapaswa kufumua safu yake ya ulinzi kwa sasa.
Kwahiyo sisi tuchangie suala la wakati uliopits litatusaidia nini? Kwanini hukulileta hili kipindi tunafanya usajili maana tulikuwa tukipita humu kuangalia mapendekezo ya mashabiki na jf tuliipa kipaumbele tukijua wengi ni great thinker
Ngoja kwanza tuone ongezo la Amme na Kitoto Joash Onyango msimu huu wata onyesha mabadiliko gani.
Dogo Onyango anao uzowefu wa mechi za kimataifa.L
Wana uwezo mkubwa sana wa Kucheza kwenye ligi ya Vodacom, Linapokuja suala la Klabu bingwa Africa ni kazi ipo 5.
Tunapaswa kuwa na wachezaji wa kiwango kikubwa zaidi kucheza kwenye hiyo nafasi.
Mm nimekuelewa mkuu....Ni kweli Simba tuna matatizo ya mabeki wa Kati kwa muda mrefu sasa....na tatizo kubwa Ni majeruhi yanayowakabili mabeki wetu ....hivyo wanacheza kwa tahadhali kubwa kuogopa kuumia....Wawa Ni majeruhi...Elasto vile vle...wakiumia tu...miezi au mwaka nje..Kennedy Juma anajitahidi lakini bado.....lakini si tumesajiri juzi tu....Kuna Onyango...na Dogo kutoka costal union... mechi ya jana...Dilunga na Mzamiru...hawakuwa vizuri kutekeleza majukumu yao Kama viungo...mipira mbele ilikuwa hafiki vizuri...hii ilimfanya Chama na Bocco...wawe wanashuka Sana chini kufata mpira...Mkude sio mzuri kwenye kukaba ...ni mzuri timu ikiwa inashambulia hasa zile pasi ndefu....ndio maana akicheza na fraga kiungo kinakuwa imara kwa sababu fraga Ni mkabaji mzuri...Goli la kwanza la Ihefu jana Ni uzembe wa mabeki....mfungaji kachukua mpira uliopigwa kichwa na beki wa Simba....kageuka....kapiga....bila usumbufu kabisa.... Goli lililo katiliwa ... mchezaji wa Ihefu alipiga free header kwenda kwa mfungaji.,..Kwa Jana... kahata...fraga....Luisi...Wawa...na Bwalya...mapengo yao yalionekana kwa kweli....Ligi ndio imeanza....nina Imani....bado tuna kikosi kizuri..kuzidi wenzetu.Tatizo sio beki ya kati bali ni upangaji wa kocha na viungo wakabaji.
Kenedy juma na Onyango wote ni namba tano lakini unawapanga pamoja hili tatizo alikuwa analifanya hata mwaka jana alikuwa anawapanga santonsi na nyoni au kenedy juma laki wote hao akiwapanga na Wawa wanafanya vizuri.
Mkude bila Fraga hamna kitu pia Mzamiru hawezi kucheza kama kiungo wa ukabaji muda mwingi anashambulia, hata goli la ihefu baada ya beki kuokoa viungo wakabaji walitakiwa kuondoa Ile hatari lakini wote hawakuwepo sehemu sahihi.
Jana wachezaji wengi waliopangwa sio wakabaji mfano Dilunga, Morison na Boko hata Chama hakucheza vizuri sababu muda mwingine alikuwa anafanya majukumu ya ukabaji.
Ningekuwa kocha kipindi Fraga hayupo Nyoni angecheza nafasi yake pia kama Wawa hayupo Amne angecheza nafasi yake
Ni kweli mpaka sasa sielewi ni kigezo gani kocha anatumia kumpanga Dilunga kwanza hakabi pia akipata mpira anawaza kufunga lakini tatizo kubwa la kocha wetu ni mwoga kujaribu wachezaji wengine akishapata first eleven anang'ang'ania hiyohiyo hata fraga bila Mkude kuumia si ajabu angeachwa maana alikuwa hapewi nafasi bahati nzuri amerudi timu yetu ni bora kuliko zote ila matatizo ya upangaji yanatugharimuMm nimekuelewa mkuu....Ni kweli Simba tuna matatizo ya mabeki wa Kati kwa muda mrefu sasa....na tatizo kubwa Ni majeruhi yanayowakabili mabeki wetu ....hivyo wanacheza kwa tahadhali kubwa kuogopa kuumia....Wawa Ni majeruhi...Elasto vile vle...wakiumia tu...miezi au mwaka nje..Kennedy Juma anajitahidi lakini bado.....lakini si tumesajiri juzi tu....Kuna Onyango...na Dogo kutoka costal union... mechi ya jana...Dilunga na Mzamiru...hawakuwa vizuri kutekeleza majukumu yao Kama viungo...mipira mbele ilikuwa hafiki vizuri...hii ilimfanya Chama na Bocco...wawe wanashuka Sana chini kufata mpira...Mkude sio mzuri kwenye kukaba ...ni mzuri timu ikiwa inashambulia hasa zile pasi ndefu....ndio maana akicheza na fraga kiungo kinakuwa imara kwa sababu fraga Ni mkabaji mzuri...Goli la kwanza la Ihefu jana Ni uzembe wa mabeki....mfungaji kachukua mpira uliopigwa kichwa na beki wa Simba....kageuka....kapiga....bila usumbufu kabisa.... Goli lililo katiliwa ... mchezaji wa Ihefu alipiga free header kwenda kwa mfungaji.,..Kwa Jana... kahata...fraga....Luisi...Wawa...na Bwalya...mapengo yao yalionekana kwa kweli....Ligi ndio imeanza....nina Imani....bado tuna kikosi kizuri..kuzidi wenzetu.
Ni kweli mpaka sasa sielewi ni kigezo gani kocha anatumia kumpanga Dilunga kwanza hakabi pia akipata mpira anawaza kufunga lakini tatizo kubwa la kocha wetu ni mwoga kujaribu wachezaji wengine akishapata first eleven anang'ang'ania hiyohiyo hata fraga bila Mkude kuumia si ajabu angeachwa maana alikuwa hapewi nafasi bahati nzuri amerudi timu yetu ni bora kuliko zote ila matatizo ya upangaji yanatugharimu
[/QUOkama pamoja na kutokukaba...pia Dilunga na Mzamiru wanapoteza Sana mpira...uwezo wa kuficha mpira asipokonywe na adui ni mdogo sana....yaani bora wangeuzwa kwa mkopo tu.
Tatizo la Simba ni kiungo mkabaji, Mkunde sio kiungo mkabaji. Fraga ni muhimu Sana.Ni kweli mpaka sasa sielewi ni kigezo gani kocha anatumia kumpanga Dilunga kwanza hakabi pia akipata mpira anawaza kufunga lakini tatizo kubwa la kocha wetu ni mwoga kujaribu wachezaji wengine akishapata first eleven anang'ang'ania hiyohiyo hata fraga bila Mkude kuumia si ajabu angeachwa maana alikuwa hapewi nafasi bahati nzuri amerudi timu yetu ni bora kuliko zote ila matatizo ya upangaji yanatugharimu
Mabeki wote uliowataja hakuna aliyeweza kuwa juu ya beki bora Bw. George Magere Masatu. Nadhani huyu mwamba ndio beki bora wa Simba wa muda wote!Habari wana jamvi.
Moja kwa moja nikimbilie kwenye mada kwa kuanza na Historia fupi ya klabu ya simba hususa ni kwa eneo lake la kujilinda tangu miaka ya 2000.
Tumeshuhudia simba ikiwa na mabeki bora kabisa kwa Takriban miaka 10
Tumwshuhudia Boniface pawasa,
Tumemshuhudia Victor costa Nyumba.
Tumemshuhudia Kelvin yondani kama beki bora wa mwisho mwisho wa klabu ya simba.
Baada ya kuondoka kwa yondani tukashuhidia tatizo kubwa sana la beki ya kati ya simba na hata kujaribu kutumia mabeki wa nchi jirani kama Kenya Uganda Rwanda zimbambwe na Burundi.
Simba imekuwa ikihangaika na mabeki kama Juuko, kanze, Mwanjali, Joseph owino, George owinoTairone silva nk.
Tumeshuhudia wote hawa wakishindwa kufanya vizuri ndani ya kikosi cha simba.
Tumeshuhudia simba ikipoteza kwa magoli ma tano dhidi ya Vita Al ahaly na 4 za vita clabu.
Nk wakati sahihi sasa kurekebisha pale walipo kosea kwa miaka 10 ya karibuni kwenye hii safu ya ulinzi, nilitaman sana simba wapate beki kiongozi mrefu na mpambanaji kama Vicent borsue. Kwa beki iliyopo sasa nahisi tutaendelea kuzishuhudia zile 5za kwenye ligi ya mabingwa.
Simba ilipaswa kufumua mabeki wa kati wote na kuanza upya.
Wewe Ni mtaalamu..big up!Tatizo sio beki ya kati bali ni upangaji wa kocha na viungo wakabaji.
Kenedy juma na Onyango wote ni namba tano lakini unawapanga pamoja hili tatizo alikuwa analifanya hata mwaka jana alikuwa anawapanga santonsi na nyoni au kenedy juma laki wote hao akiwapanga na Wawa wanafanya vizuri.
Mkude bila Fraga hamna kitu pia Mzamiru hawezi kucheza kama kiungo wa ukabaji muda mwingi anashambulia, hata goli la ihefu baada ya beki kuokoa viungo wakabaji walitakiwa kuondoa Ile hatari lakini wote hawakuwepo sehemu sahihi.
Jana wachezaji wengi waliopangwa sio wakabaji mfano Dilunga, Morison na Boko hata Chama hakucheza vizuri sababu muda mwingine alikuwa anafanya majukumu ya ukabaji.
Ningekuwa kocha kipindi Fraga hayupo Nyoni angecheza nafasi yake pia kama Wawa hayupo Amne angecheza nafasi yake
Mkude yuko slow sana na mipira yake anarudisha nyuma au pembeni, sijui kwanini hasongi mbele, japo basi atoe pasi za mbele.Tatizo la Simba ni kiungo mkabaji, Mkunde sio kiungo mkabaji. Fraga ni muhimu Sana.
Huyu kocha kakariri sifa kubwa ya kiungo mkabaji ni kutibua, kusahihisha pale mabeki wanapokosea na kukaa sehemu sahihi lakini mkude hana sifa hizo, Fraga alicheza mechi na biashara kwenye viwanja vibovu lakini bado anambaniaMkude yuko slow sana na mipira yake anarudisha nyuma au pembeni, sijui kwanini hasongi mbele, japo basi atoe pasi za mbele.
Pole pole naona anaanza kukata moto. Fraga ni chaguo sahihi kwa sasa