1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 452
- 1,794
Nimepata taarifa beki wetu kisiki kapata ajali maeneo ya Mikocheni, alipokwenda kumpokea ndugu yake usiku wa kuamkia leo, Septemba 24 ambaye amekuja kumtembelea.
Sikusudii kuleta taharuki isipokuwa nimewasikia watu wakisema katika daladala, pole ukuta wa Yericko kama ni kweli.
UPDATE
Taarifa za awali zinadai hakuumia wala kupata majeraha, lakini abiria mmoja aliyekuwa pamoja nae ndie aliumia. Hata hivyo, amepatiwa matibabu na kuruhusiwa kuondoka hospitalini asubuhi hii.
Sikusudii kuleta taharuki isipokuwa nimewasikia watu wakisema katika daladala, pole ukuta wa Yericko kama ni kweli.
UPDATE
Taarifa za awali zinadai hakuumia wala kupata majeraha, lakini abiria mmoja aliyekuwa pamoja nae ndie aliumia. Hata hivyo, amepatiwa matibabu na kuruhusiwa kuondoka hospitalini asubuhi hii.