STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,568
Kapata bahati sana uengereza wanafunga nusu, yaani kama umefanya kosa la miaka miwili unafungwa gerezani mwaka mmoja , mwaka uliobaki wanakutoa nje wanaweza wakakupiga tag kila unapoenda wanakujua umeenda wapi, na kakakupa 12 hours za day time tu kukaa nje hour zilizobaki lazima uwemo ndaniKesi bado haijatolewa hukumu mkuu ila alinyimwa dhamana baada ya taarifa za kesi kuwa na mantiki.....so hizi video kuvuja zinamaanisha nikweli ni yeye ndie mhusika......
Lakini hatafungwa miaka mingi, nafikiri, sema ameharibu jina lake katika tasnia ya soka