Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,225
- 36,239
Habari za usiku mteke wapendwa....
Nimejizuia kuandika kwa lugha baba (ya kimalkia) ili nijieleze kinaga ubaga....
Iko hivi, mara zote nikiwa kwenye Mahaba mazito nakuwa na mshawasha kiasi kwamba najiona kabisa natoka nje ya vile nnavyo jifahamu....
Yaani kama niko eneo la wazi sioni aibu kumbusu mpenzi wangu, kumkumbatia, kucheka kwa sauti ya mahaba......
I can dance, sing for him and smile endlessly.....🥰🥰🥰
Yaani am overwhelmed.....
Ooh lugha ishahama, hapa najua mida imeenda, kesho ibadani ila niko kilingeni naichakaza dancing floor....
The loved one....😘
Hyper Kasie.... dancing old school songs ...😉 all night long....🥰🥰😍
#beinginlove wuuuuuuuuuuhhhhh....
Nimejizuia kuandika kwa lugha baba (ya kimalkia) ili nijieleze kinaga ubaga....
Iko hivi, mara zote nikiwa kwenye Mahaba mazito nakuwa na mshawasha kiasi kwamba najiona kabisa natoka nje ya vile nnavyo jifahamu....
Yaani kama niko eneo la wazi sioni aibu kumbusu mpenzi wangu, kumkumbatia, kucheka kwa sauti ya mahaba......
I can dance, sing for him and smile endlessly.....🥰🥰🥰
Yaani am overwhelmed.....
Ooh lugha ishahama, hapa najua mida imeenda, kesho ibadani ila niko kilingeni naichakaza dancing floor....
The loved one....😘
Hyper Kasie.... dancing old school songs ...😉 all night long....🥰🥰😍
#beinginlove wuuuuuuuuuuhhhhh....