marandu2010 JF-Expert Member Joined Aug 7, 2010 Posts 1,201 Reaction score 446 Apr 10, 2011 #1 helo wakuu,ningependa wakuu mnipe mchanganuo wa bei za viwanja maeneo tofautofauti ya mikoa yetu,ili nijue ni kwa jinsi gani nitawekeza katika ardhi,na kuanzisha miradi mbalimbali. nawasilisha wakuu.
helo wakuu,ningependa wakuu mnipe mchanganuo wa bei za viwanja maeneo tofautofauti ya mikoa yetu,ili nijue ni kwa jinsi gani nitawekeza katika ardhi,na kuanzisha miradi mbalimbali. nawasilisha wakuu.
G Godwine JF-Expert Member Joined Jan 15, 2010 Posts 1,371 Reaction score 286 Apr 10, 2011 #2 kila mkoa na maeneo yake mfano dar tofauti kati ya chanika na kariakoo