Bei za viwanja Boko na Bunju

Bei za viwanja Boko na Bunju

Mzee2000

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2009
Posts
528
Reaction score
221
Natafuta kiwanja boko au bunju kiwe kama square metre 1000 na kisiwe zaidi ya mile moja kutoka bagamoyo road.
Naomba kwa anayejua bei ni kama kiasi gani?
 
Kuna viwanja vimepimwa kabisa maeneo ya boko 4 km kutoka road ya bagamoyo ni ukubwa was 28*20 ni million Tatu na nusu so unaweza kuvionganisha
Kama ukitaka piga
0712 016626
 
Boko milioni 3.5! tena pamepimwa? Hata kerege bagamoyo hupati!!!!
 
Mkuu mbona IPO sawa lambda tigo mtandao tu il a we nicheck kwa SMS nitakupigia mwenyewe name pia nicheck kwa hii pis 0768122956
 
Kuna viwanja vimepimwa kabisa maeneo ya boko 4 km kutoka road ya bagamoyo ni ukubwa was 28*20 ni million Tatu na nusu so unaweza kuvionganisha
Kama ukitaka piga
0712 016626

hiyo ni meter au futi na ni boko ipi manake hiyo bei inatia mashaka sana. Bagamoyo kwenyewe kilichopimwa kwa size hiyo hupati kwa bei hiyo
 
Naomba nijaribu kuelimisha kidogo, kiwanja kilichopimwa kwa mil 3.5 hii ni ngumu kupata kwa uzoefu wangu. Thamani ya mita moja ya mraba kwasasa inapatikana sio chini ya 15000 itawezekanaje upate kiwanja kwa hela hyo, otherwise kuna mambo mawili yanayofanyika kitaalam, kuna demarcation na survey nafikiria namna ya kuyaweka haya maneno yapate kueleweka, kuna viwanja vilivyofanyiwa demarcation kwa maana mtaalam wa mambo ya survey ametumia machine(total station) kisha akaweka alama kutokana na mchoro wa mpango mji wa eneo husika lakin kitaalam anaishia hapo na anaweza kutengeza pia mchoro kabisa hii watu wanaita upimaji ila kimsingi ni aina ya upimaji ambao haujakamilika yaan hautofautiani sana na wale wanaopima hatua za miguu 20*20 otherwise ukisikia mahali pamepimwa basi ujue kunakuwa approved survey ya maeneo husika kutoka wizara ya ardhi na iwe huru kwa mtanzania yeyote kuifikia akitaka, ninajua hilo eneo linalouzwa hyo mil 3.5limefanyiwa demarcation na sio survey, ninatambua lipo eneo mitaa ya bunju linauzwa viwanja kwa kila sqm 12, 000/=jaribu hapo mkuu unaweza kupata unachohitaj, plan namba ya hilo eneo ni E'301/1048 imepata usajili 10/10/2013 pia nakupa angalizo mchakato wa kupata hati pia unawasumbua hawa wenye kumiliki hii property nakushaur uwaambie wakupe necessary documents ukashughulikie mwenye. Nakutakia mafanikio mema
 
Naomba nijaribu kuelimisha kidogo, kiwanja kilichopimwa kwa mil 3.5 hii ni ngumu kupata kwa uzoefu wangu. Thamani ya mita moja ya mraba kwasasa inapatikana sio chini ya 15000 itawezekanaje upate kiwanja kwa hela hyo, otherwise kuna mambo mawili yanayofanyika kitaalam, kuna demarcation na survey nafikiria namna ya kuyaweka haya maneno yapate kueleweka, kuna viwanja vilivyofanyiwa demarcation kwa maana mtaalam wa mambo ya survey ametumia machine(total station) kisha akaweka alama kutokana na mchoro wa mpango mji wa eneo husika lakin kitaalam anaishia hapo na anaweza kutengeza pia mchoro kabisa hii watu wanaita upimaji ila kimsingi ni aina ya upimaji ambao haujakamilika yaan hautofautiani sana na wale wanaopima hatua za miguu 20*20 otherwise ukisikia mahali pamepimwa basi ujue kunakuwa approved survey ya maeneo husika kutoka wizara ya ardhi na iwe huru kwa mtanzania yeyote kuifikia akitaka, ninajua hilo eneo linalouzwa hyo mil 3.5limefanyiwa demarcation na sio survey, ninatambua lipo eneo mitaa ya bunju linauzwa viwanja kwa kila sqm 12, 000/=jaribu hapo mkuu unaweza kupata unachohitaj, plan namba ya hilo eneo ni E'301/1048 imepata usajili 10/10/2013 pia nakupa angalizo mchakato wa kupata hati pia unawasumbua hawa wenye kumiliki hii property nakushaur uwaambie wakupe necessary documents ukashughulikie mwenye. Nakutakia mafanikio mema

maelezo mazuri sana hayo..utakuwa umewasaidia wengi sana mtaalamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom