Usijali mkuu, we andaa tu mpunga wa kueleweka.Sipo karibu ninakuja huko mwezi wa kumi nataka nianze kujipanga maana nimenyimwa mkopo.bajeti tight
Umenyimwa mkopo lini wkt hata selection bado?Wadau,naomba kufahamu kwa wenye taarifa sahihi
Gharama ya Hostel nje ya chuo jirani na DUCE ni bei gani na upatikanaje wake ukoje?
Me nipo hapa duce naingia mwaka watatu nashindwa nianzie wapi kukujbu naona weww hauko serious, application za mkopo deadline tar4 sept umejuaje kama umekosa? Selection za chuo nazo hadi 30th mwez huuVigezo na masharti kuzingatiwa.
Ndugu yangu kuuliza si ujinga,nimetumia MB,muda na effort kutafuta hii taarifa.Ningekuwa siko serious nisingeuliza.Kama umenielewa shida yangu sasa hivi nafanya fundraising kwa wanandugu.Na nimuhimu niwe na Taarifa muhimu na nimeomba msaada huku kwa kuwa naamini wana jukwaa mna taarifa sahihi.Me nipo hapa duce naingia mwaka watatu nashindwa nianzie wapi kukujbu naona weww hauko serious, application za mkopo deadline tar4 sept umejuaje kama umekosa? Selection za chuo nazo hadi 30th mwez huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia kwny profile yangu upitie kuna post niliweka siku za nyuma ina taarfa zote kuhs duce na zaidNdugu yangu kuuliza si ujinga,nimetumia MB,muda na effort kutafuta hii taarifa.Ningekuwa siko serious nisingeuliza.Kama umenielewa shida yangu sasa hivi nafanya fundraising kwa wanandugu.Na nimuhimu niwe na Taarifa muhimu na nimeomba msaada huku kwa kuwa naamini wana jukwaa mna taarifa sahihi.
njoo boi hostel nying ni kuanzia lak na 60 to lak 2 na 40 na inategemea na maeneo
Hii bei kwa semester ama?njoo boi hostel nying ni kuanzia lak na 60 to lak 2 na 40 na inategemea na maeneo
Sent using Jamii Forums mobile app
Dollars 3.2 kwa sikuWadau,naomba kufahamu kwa wenye taarifa sahihi
Gharama ya Hostel nje ya chuo jirani na DUCE ni bei gani na upatikanaje wake ukoje?
Kwa uzoefu wangu, hapo itakua ni kwa semista ila ndiyo mnashare room washkaji kadhaa.Hii bei kwa semester ama?