BEI ZA GALAXY NOTE 2 NA S4 USED.......msaada pleaz...

mapunda b

JF-Expert Member
Feb 8, 2013
418
19
kwa anaefaham bei za samsung galaxy note 2 na S4 ambozo ni used na ziko kwa good condition naomba mnojuze tafadhali hasa kwa hapa bongo....

thanks in advance..
 
note 2 used 500k-550k
S4 used 670k-750k
kuna lingine tukusaidie mkuu?
 
mkuu sasa kwa note 2 naweza pata wapi kwa apa dar na kwa uhakika wa iyo bei...!?

binafsi mkuu nakua nafwatilia biashara za simu za wahindi na watoto wakishua kwenye page flani hivi ya facebook..inaitwa deals in dar....unawweza pata umo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom