Kuna duka moja Kariakoo wanauza hivi vifaa kwa hii bei
CV Joint 25,500/- kwa pisi moja na mbili 40k
Ball joint 15k kwa pisi mojana mbili 30k
Je ni sahihi kweli au ndio fake?
Kuna duka moja Kariakoo wanauza hivi vifaa kwa hii bei
CV Joint 25,500/- kwa pisi moja na mbili 40k
Ball joint 15k kwa pisi mojana mbili 30k
Je ni sahihi kweli au ndio fake?