Bei za bati kiwandani

Bei za bati kiwandani

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
8,237
Reaction score
8,530
wakuu nataka kununua mabati so nilipenda kujua bei ya zile bati za kawaida geji 28! zauzwaje kiwandani?
 
jamani njooni huku mtusaidie wengi tunahitaji kujua
 
Kwann usiende yellow pages ukatafuta namba za simu sehemu husika ukawapigia ukapata majibu badala ya jf kwani humu hapauzwi mabati mkuu
 
Kwann usiende yellow pages ukatafuta namba za simu sehemu husika ukawapigia ukapata majibu sahihi badala kusumbuka humu jf kwani humu hapauzwi mabati mkuuu
 
Mkuu hakukuwa na lazima ya wewe kujibu kama huwezi kusaidia
Sasa naye asipojibu watu watajuaje kuwa yuko JF?

JF hapa unapata experience ya watu waliowahi kuagiza na hata wanaofanya kazi huko huko viwandani. Halafu unazungumzia Yellow pages?
 
buguruni ni kuanzia 250,000.ila kuna mzee aliniuzia 235,000.geji 28 zinakaa 12 na geji 30 zinakaa 16.ila bei ni moja.hyo ni kwa bei ya jumla.ukitaka bei ya kiwandan kabisa inabid ufike kiwandani kwao.lazma uchukue bati nyingi sana ndo wakuuzie vinginevyo watakwambia kanunue kwa mawakala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom