jonas255
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 225
- 112
Habari zenu wadau...
Mimi ni mtumishi nimepangiwa kazi halmashauri ya wilaya ya musoma mjini... Nilikuwa naomba kujua bei elekezi ya vyumba vya kupanga chumba na sebule itapendeza ikiwa na choo ndani... Mimi ni mwalimu i receive 400k per month... Please help me
Mimi ni mtumishi nimepangiwa kazi halmashauri ya wilaya ya musoma mjini... Nilikuwa naomba kujua bei elekezi ya vyumba vya kupanga chumba na sebule itapendeza ikiwa na choo ndani... Mimi ni mwalimu i receive 400k per month... Please help me