Bei ya tv inch 32 Mbeya.

Bei ya tv inch 32 Mbeya.

ni ngumu

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2016
Posts
4,292
Reaction score
7,209
Wapi naweza pata tv inch 32 nikiwa mbeya kwa bei nafuu..msaada tafadhali
 
  • Thanks
Reactions: Dyf
Mimi nauza TV dar star x inch 32" mpya 390,000/ ,naweza kukupelekea mpaka kwenye kituo cha basi ubungo..gharama ya kuisafirisha mbeya juu yako.
0715677739
IMG-20170610-WA0055.jpg
 
Wapi naweza pata kwa mbeya naamaana nielekezwe maduka ya tv mbeya..
Hivi kweli ukifika pale Kabwe ukaangaza angaza utashindwa kuona pa kuelekea? Au unatafuta dealer wa kukuletea sebuleni kabisa?
 
Hivi kweli ukifika pale Kabwe ukaangaza angaza utashindwa kuona pa kuelekea? Au unatafuta dealer wa kukuletea sebuleni kabisa?
Kabwe sijawahi ona na napita kila siku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom