Bei ya sigara mtaani kwako ipoje?

Kuna jamaa alikaa karibu yangu kanisani ananuka sigara hatar nahisi alienda kuvutia chooni akazima kipisi akaweka mfukoni.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mbona simpo tu badala ya kununua sigara,nunua tumbaku ya jumla supermarket/kokote ipatikanapo na rizla nyonga vuta.
 
Sigala iuzwe tu ata millioni 5 moja kwani? Inafaida gan?kuumiza vifua tu na kupoteza nguvu kazi ya taifa waongeze bei saaaaana wapunguze sukari.
 
Bora ungeongelea bhangi tungekuelewa. Nani anavuta sigara karne hii kama si wapiga debe na wanywa wanzuki? Watu tunakata issue za kimataifa hapa unatuletea upumbavu wa sigara? Kafue nguo za shule. Bwege wewe
So funny hahahhahaha
 
Siku hiz watu wamehamia kwenye wiston yan instembea sana hii sigara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…