Bei ya sigara mtaani kwako ipoje?

Bei ya sigara mtaani kwako ipoje?

Bora ungeongelea bhangi tungekuelewa. Nani anavuta sigara karne hii kama si wapiga debe na wanywa wanzuki? Watu tunakata issue za kimataifa hapa unatuletea upumbavu wa sigara? Kafue nguo za shule. Bwege wewe
Mbona povu mkuu, punguza stress. Sasa wewe ukivuta bangi unataka kila mtu avute bangi? Wewe unekuwa nani? Anyway hongera kwa kufanya issue za kimataifa.
 
Back
Top Bottom