Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,297
Huku kwetu hali mbaya. Nipeni plan B wadau...
Uzi tayari
Uzi tayari
Huku kwetu hali mbaya. Nipeni plan B wadau...
Uzi tayari
Embassy 300Sport original-packet 2700
Club-packet 1700
vipi ganja unachukulia mitaa ipi na mimi nije nichukue???Bora ungeongelea bhangi tungekuelewa. Nani anavuta sigara karne hii kama si wapiga debe na wanywa wanzuki? Watu tunakata issue za kimataifa hapa unatuletea upumbavu wa sigara? Kafue nguo za shule. Bwege wewe
Yaani ukiwa na jero unavuta moja. Dah jiwe kibokoEmbassy 300
Mbona povu mkuu, punguza stress. Sasa wewe ukivuta bangi unataka kila mtu avute bangi? Wewe unekuwa nani? Anyway hongera kwa kufanya issue za kimataifa.Bora ungeongelea bhangi tungekuelewa. Nani anavuta sigara karne hii kama si wapiga debe na wanywa wanzuki? Watu tunakata issue za kimataifa hapa unatuletea upumbavu wa sigara? Kafue nguo za shule. Bwege wewe
Maneno ya kuambiwa hayohata ikiuzwa buku ni sawa tu,,kwanza ni hatari kwa afya yako,,
Huyo ni mimi kabisaKuna jamaa alikaa karibu yangu kanisani ananuka sigara hatar nahisi alienda kuvutia chooni akazima kipisi akaweka mfukoni.
Parokia gani? Maana kuna mmoja namjua wa Parokia fulani Misa mpaka iishe keshavuta mara tatuKuna jamaa alikaa karibu yangu kanisani ananuka sigara hatar nahisi alienda kuvutia chooni akazima kipisi akaweka mfukoni.
Hahaha uchochezi huuParokia gani? Maana kuna mmoja namjua wa Parokia fulani Misa mpaka iishe keshavuta mara tatu
Si anajitahidi kulipa kodi mzeeHahaha uchochezi huu
kuna father mmoja mspain anavuta sigari hatari tena hadharani tu mda wowoteParokia gani? Maana kuna mmoja namjua wa Parokia fulani Misa mpaka iishe keshavuta mara tatu