Bei ya nyaya za uzio

Bei ya nyaya za uzio

Kimbori

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
6,292
Reaction score
4,785
Mambo vp wajasiriamali?
Naomba kujua bei na wauzaji wa nyaya za uzio, na mikoa muuzaji anayoweza kufikisha mzigo.
Nataka zile za muundo wa mkeka (sio senyenge).
 
Duh! Hakuna mjasi anayehusika na hii bidhaa aliyepita kwa uzi huu
 
Uwe spesifiki mkuu, uko wapi?
Hizo zinaitwa chain link. Zina urefu wa mita 14-15 na wastani wa bei ni 65k to 80k
Mambo vp wajasiriamali?
Naomba kujua bei na wauzaji wa nyaya za uzio, na mikoa muuzaji anayoweza kufikisha mzigo.
Nataka zile za muundo wa mkeka (sio senyenge).
 
Chain link hiyo
Screenshot_20190723-115125_Chrome.jpeg
 
Zipo bei inategemeana na milimita ya unene unaitaka na zote zina urefu wa 15mtrs na upana wa 6ft kama unataka ya unene wa 2.5ml bei ni 65000 hadi 60000 na ya 3mm unene ni 75000 hadi 80000.
Mambo vp wajasiriamali?
Naomba kujua bei na wauzaji wa nyaya za uzio, na mikoa muuzaji anayoweza kufikisha mzigo.
Nataka zile za muundo wa mkeka (sio senyenge).
 
Back
Top Bottom