Kwa wadau wote wanaopendelea kula mshikaki coco nawataharifu bei ya mshikaki wa ng'ombe ni 1500 na mshikaki wa samaki ni 2500 kama kuna siku umeuziwa zaidi ya hapo umeibiwa kuna baadhi ya wahudumu pale ni wezi hiyo nimegundua jana baada ya kudaiwa hela tofauti na niliyozoea kulipa badala ya 1500 nilikuwa nalipa 2000 na badala ya 2500 nilikuwa nalipishwa 3000, kuweni makini mletewapo bill .
Watu wa Dar njaa kweli sisi wa Kaskazini hatulagi mambo ya mishikaki, unakuta ng'ombe katundikwa unawambia wakukatie upande gani unataka kwa kilo au mbuzi mzima katundikwa unaagiza mguu, kidali, mkono au mbavu ikiletwa unakula tumbo juu na kuteremshia maji ya dhahabu. Kama ni kuku ni wale wa kienyeji chapa Singinda na Manayara. Mshikaki utasikia nini
Watu wa Dar njaa kweli sisi wa Kaskazini hatulagi mambo ya mishikaki, unakuta ng'ombe katundikwa unawambia wakukatie upande gani unataka kwa kilo au mbuzi mzima katundikwa unaagiza mguu, kidali, mkono au mbavu ikiletwa unakula tumbo juu na kuteremshia maji ya dhahabu. Kama ni kuku ni wale wa kienyeji chapa Singinda na Manayara. Mshikaki utasikia nini
wewe unakula kwa njaa.....wenzio tunakula kwa hamu tu......hatuendi coco au sehemu ingine kushiba nyama....mbuzi mzima wa nini kama sio umero bin uroho tu......
Ahaaaaa!! TClever ukisikia tu hamu ya chakula ujue hiyo ni njaa. hakuna hamu ya chakula bali ni njaa. Kwa hiyo sidhani ukiwa na hamu ya mshikaki ukipewa mguu wa mbuzi au kilo ya nyama choma ng'ombe utasaza kitu. Kukosekana vitu kunazaa lugha eti hamu kumbe njaa tu
wewe unakula kwa njaa.....wenzio tunakula kwa hamu tu......hatuendi coco au sehemu ingine kushiba nyama....mbuzi mzima wa nini kama sio umero bin uroho tu......
Huyo jamaa ndio alienipiga na mimi baada ya kuona namshangaa akadakia bei zimebadilika kesho yake muhudumu mwingine akanicharge bei niliyozoea nikagundua nimepigwa tayari.